Tujifunze Kiswahili

Tujifunze Kiswahili

Share

Mdarisi wa lugha ashirafu ya Kiswahili. Nashughulikia maswali yote ya somo la kiswahili From kimilili. went to kaptola secondary school

09/06/2026

Bainisha aina za vitenzi katika sentensi ifuatayo:
Mwalimu angali anashangaa kuwa Juma ni mwizi

30/05/2026

Big shout out to my new rising fans! Edwin Wafula

26/05/2026

Haya wapenzi tuchangamkie haya maswali

21/05/2026

Yakinisha sentensi ifuatayo
Mwalimu hakuwafundisha wanafunzi wakaelewa

19/05/2026

MBINU ZA UANDISHI
1. Uhaishaji/Tashihisi(personification)- ni mbinu ya kuvipa vitu visivyo na uhai sifa za kibinadamu.
Mbinu hii husaidia kujenga taswira. Mifano:

ya Tashihisi katika Sentensi:

"Nilipofika nyumbani jioni hiyo, kufuli lilikuwa likinikodolea macho." (Kufuli limepewa sifa ya binadamu ya kuona au kukodolea macho).

"Upepo mkali umevifukuza mawingu angani." (Upepo umepewa uwezo wa kufukuza k**a askari au mchungaji).

"Jua lilitutwanga kwa hasira." (Jua halina hisia za hasira, wala halina mikono ya kutwanga).

"Hofu iliniteka nyara na kuniacha nikiwa hoi." (Hofu imepewa uwezo wa binadamu wa kuteka).

19/05/2026

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! 🎉 Celestine Makokha, Tracy Ajaa, Edwin Wafula, Yvonne Akisa, Faith Waswa, Philip Nalwali, Mark Annet, Filex Ekirapa, Avivoh Princes, Violet Wakhisi, Velmah Emmanuels, Kalos Aluku, Isabella Marisa

15/05/2026

Tujifunze mbinu mbalimbali za lugha

Tambua mbinu ya lugha katika kifungu kifuatacho

Chumba kilikuwa kimepambwa kikapambika. Macho yangu yalitua kwenye pazia iliyoning'inia karibu na kitanda. Mkabala wa kitanda palikuwa na meza iliyowekelewa redio iliyocheza kwa sauti ya juu. Saa kubwa ya ukutani ilining'inia juu ya meza....

14/05/2026

Geuza sentensi ifuatayo iwe katika use mi wa taarifa

"Nitasafiri leo jioni," Musa alisema.

Want your school to be the top-listed School/college in Athi River?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


131
Athi River