Association des Personnes Apprenantes la Langue de Kiswahili

Association des Personnes Apprenantes la Langue de Kiswahili

Share

Ukurasa huu " A P A La Ki" una lengo la kufundisha ,kukuza na kutangaza lugha ya Kiswahili.

Photos from Association des Personnes Apprenantes la Langue de Kiswahili's post 22/03/2024

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amefanya mabadiliko kwenye vikosi vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo akimteua mtoto wake wa kwanza, Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu wa Jeshi la Uganda.

Kainerugaba anachukua nafasi ya Jenerali Wilson Mbasu Mbadi aliyeteuliwa kuwa waziri wa biashara.

Mabadiliko mengine yaliyofanywa na Rais Museveni ni pamoja na uteuzi wa Luteni Jenerali Samuel Okiding kuwa naibu Mkuu wa Jeshi akichukua nafasi ya Jenerali Peter Elwelu aliyeteuliwa kuwa miongoni mwa washauri waandamizi wa Rais.

Imeandaliwa na

Kutoka TV

Photos from Association des Personnes Apprenantes la Langue de Kiswahili's post 22/03/2024

Matini mazuri kuliko mengine , bahasha k**a zawadi
-----------------------------------------------------
Jana tarehe 21 , Machi , mwaka huu katika majengo ya chuo kikuu cha Burundi , bewani Mutanga ilikuwa furaha tele kwa wanafunzi waliochaguliwa matini yao katika shindano lililobatizwa " zawadi ya Fasihi RUMURI , Prix littéraire RUMURI Kwa lugha ya Kifaransa au Literary Price RUMURI kwa lugha ya kimombo " .

Shindano hilo lilikuwa la tano kwenye orodha lao kuanzia mwaka elfu mbili na kumi na nne ( 2014 ). Shindano hilo lilikuwa katika lugha nne zifuatazo : lugha ya kifaransa , lugha ya kimombo , lugha ya kirundi na lugha ya kiswahili . Wanafunzi waliohudhuria katika shindano hilo la tano ni 114.
Wanafunzi 32 katika lugha ya kifaransa , wanafunzi 33 katika lugha ya kimombo , wanafunzi 28 latika lugha ya kiswahili na wanafunzi 21 katika lugha ya kirundi.Katika kila lugha , watano watano wa kwanza katika lugha hizo zote waliopewa zawadi , ukitoa lugha ya kifaransa ambacho sita ndio waliopewa zawadi

Mwanzishi wa shindano " zawadi la fasihi RUMURI " ni mwalimu -msaidizi wenye chuo kikuu cha Burundi ambaye anaitwa Aminadab HAVYARIMA. Mwalimu huyo alikuwa mwanafunzi wakati wa kuanzisha shindano hilo.
" Usipojizoeza kusoma vitabu , hutaandika kamwe mazuri " . Yaliyonenwa na mwalimu huyo Aminadab HAVYARIMANA. Kitu kingine alichosema ni kuwa waliopewa zawadi wote hawakupatwa na umasikini maishani mwao kutokana kuwa wanatafutwa na tajiri wengi au wanajiandalia kazi zao.

Kwa mchango wa mama-mlezi wa kiswahili nchini Burundi , bibi Dorothée NSHIMIRIMANA , alishukuru sana wanafunzi-wandishi waliopewa zawani na kushauri wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Burundi kuwa na hamu ya kujizoeza kuandika matini na vitabu ili nchi yetu na hawo wajulikane katika nchi za Afrika mashariki .

Wanafunzi wote wanaosoma kwenye vyuo vyote nchini burundi wanaruhusiwa kuhudhuria katika shindano hilo. Shindano hilo " Zawadi la Fasihi RUMURI linashirikiana na chuo kikuu cha Burundi , chuo kikuu cha ziwa la TANGANYIKA , Chuo kikuu cha NGOZI na chuo kikuu cha GITEGA na kupigwa jeki kifedha na ubalozi wa ufaransa nchini Burundi na chuu kikuu cha Burundi

nchini Burundi

06/01/2024

Hebu mashabiki! Niwieni radhi kwa kwa kuwa huwa sitendi ninachoitiwa. Ngoja kidogo niwape neno jipya la siku ili tuendelee kukuza bongo zetu.Kisha tujilalie

Ndundu: ni ujira au malipo anayopewa mtu baada ya kumaliza ile kazi ya kutwanga au ya kufunda.

Mfano: Salima ni msichana mrembo. Hapa jijini BUJUMBURA ,Bwanyenye humpa ndundu baada ya kuwafanyia kazi nyumbani kwao

Nawatakia usiku mwema.Tena endeleeni kualika ndugu zenu wajiunge na ukurasa huu. Ahsante

03/01/2024

Teknologia inaendelea kukuzwa nchini kwetu. Sasa habari mpya ni kuwa na yeyote yaweza kuisikiliza na kuifuata mahali kokote ako.
Mashabiki mliopo duniani kote ,msikose kusikiliza mbalimbali , na vinavyopitia kwenye hiyo.
Ukitaka kuisikiliza chagua baina milolongo( chaînes) miwili hii ifuatayo:

1. Mlolongo ( chaîne) satellitaire : 801
2. Mlolongo ( chaîne) heptzienne : 108



Photos from Association des Personnes Apprenantes la Langue de Kiswahili's post 03/01/2024

Hakika mashauri haya yanafika moyoni. Na sisi warundi ambao uchumi nchini kwetu haupo juu tungezingatia na tungefuata mashauri hayo yaliyopewa waTanzania. Huku nchini kwetu , sekta ya utalii ipo chini sana

"Watalii kutoka Nchini Tanzania, wamewashauri wazawa kuendelea kuchangamkia vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini kwa lengo la kutangaza vivutio hivyo ili kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa.

Kauli hiyo imetolewa na mtalii mzawa kutoka mkoani Kilimanjaro, Bw.Elihuruma Nyari wakati alipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire, iliyopo mkoani Manyara ambapo amewasihi Watanzania kutowaachia wageni kutoka mataifa mbalimbali kutembelea hifadhi hizo kwani nao wanayo nafasi ya kutembelea vivutio hivyo.



.

03/01/2024

🤝🤝Heri ya mwaka mpya wewe shabiki yeyote yuko duniani kote.Niwie radhi kwa kuwa nilikawia kuwatakia heri ya mwaka mpya 2024. Ni kutokana na maradhi mwilini mwangu.Bali shukurani za dhati kwa Rabuka wetu yu kwema kwa kuwa amenipona ijapokuwa si asilimia.

Mwaka huu wa 2024 ,uwe wa mafanikio mema katika shughuli zenu , Mungu awape uzima na mali au hela.

Mwaka huu tungependa tuwe hewani muda mrefu ili nyinyi mashabiki wa ukurasa huu melendelee kujichotea maarifa na habari hapa.

Mungu awabari


na

05/11/2023

Muda si murefu wa kurejea kupata au spika na kuona machapisho mengi sana hapa kwenye mtandao wangu wa Facebook na kwenye ukurasa wetu

Machapisho hayo yanagawanyikiwa katika makundi mawili

1. Kundi la kwanza ni machapisho ya sanaa ya ambayo hutachapishwa katika lugha ya kwenye mtandao wangu Facebook

2. Kundi la pili ni machapisho ya sanaa ya ambayo hutachapishwa kwenye ukurasa wa katika lugha ya , lugha ya

NTAWEYANKA ,mwanzishi wa

ya
ya

Mengi zaidi , andikeni ujumbe wa kawaida kwenye namba : 62918943
Au andikeni ujumbe na rikodi mkitumia zenu kwenye mtandao wa kwenye namba hiyo ( 62918943)

Rabuka wetu yu mwema awabariki.

23/03/2023

Asalaam Aleikum nyinyi nyote mashabiki wa ukurasa huu .
: ni kipindi cha siku thelathini (30 jours) tena mfungo mtukufu kwa waislamu wote.

Leo Rais wa Jamuhuri ya Burundi ametakia waislamu wote Ramadhani Kareemnjema.Tena na ukurasa huu tunawatakia Ramadhani Kareem

28/02/2023



Leo , tarehe 28/02/2023Viongozi wa dini ya Kiislamu kutoka jimbo la Marsabit nchini Kenya wamezindua kampeni ya kuchangisha fedha za kuwasaidia wakaazi wakati mwa mwezi mtukufu wa Ramadhan, katika wakati jimbo hilo linakabiliwa na hali ya ukame mbaya ambao wanahofia kuathiri pakubwa ibada hiyo.

Mwenyekiti wa mwavuli wa viongozi wa kidini Marsabit Muslim Leaders Forum huko Marsabit Hajj Ibrahim Oshe amewatolea wito Wakenya kutoa misaada ya chakula na maji wakati mwezi mtukufu wa Ramadhan unapokaribia ili kuwaondolea shaka watakaoshiriki mfungo huo.

Mwezi u wa Ramadan ni muhimu sana katika kalenda ya Uislamu na katika kipindi hicho cha mfungo, chakula na maji ni kiungo muhimu na iwapo wanaofunga watakosa chakula na maji, huenda afya zao zitaathirika pakubwa.

Tunawatakia waislamu wote duniani kote Ramadhani na kuchangiana katika mwezi huo mtukufu waingimo.

Photos from Association des Personnes Apprenantes la Langue de Kiswahili's post 23/02/2023

Asubuhi njema nyinyi nyote mashabiki wa .

Jana ,tarehe 22 , Februari ,mwaka huu ,ilikuwa jumatano ya majivu ( Mercredi du cendres) na mwanzo wa Kwaresima( début du carême) kwa waumini wa dini ya kikatoliki.

09/02/2023

Asubuhi njema kwenu nyinyi nyote mashabiki wa ukurasa huu .

Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili vyuo vikuu Burundi ( CHAWAKIBU) kimeandaa kongamano kuanzia leo hadi kesho kwa wanaozungumza kiswahili, nyinyi nyote mnalikwa katika kongamano hilo.

✍️🎤

08/02/2023

Furaha tele sana kwetu kwa kuwa tunarejea kuzungumza na nyinyi mashabiki wa ukurasa huu . Tunasema k**a huko kwa sababu" barua ni nusu ya kuonana"

Leo tuangazie baadhi ya sehemu za mwili . Angalieni vizuri picha ifuatayo ili mjichotee misamiati mipya.

✍️🎤

Want your school to be the top-listed School/college in Bujumbura?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Bujumbura