28/01/2025
Mwanao ana shilingi 10,000 na anatakiwa kununua vitu vitano(5) muhimu katika listi iliyopo chini hapo.Pia ana lengo la kuweka akiba.Je atachagua nini na kwa nini?
☆Mkate: 2,000
☆Maziwa: 3,500
☆Juisi: 4,000
☆Chokoleti: 2,500
☆Sabuni: 1,500
☆Chipsi: 3,000
☆Mayai: 4,500
# Elimuyafedhakwawatoto