17/11/2022
Wanafunzi wa Kituo Cha Tumaini Center Karansi wameweza kuanzisha Bustani ambapo wamepanda mboga aina ya Mnafu, sukuma wiki, na chainizi.
hii wanafunzi wapya wa Mafunzo ya Udiakonia wamekuja kuwasaidia kutengeneza matuta ya vitunguu.
hizi wanazitumia katika mlo wao kwaajili ya kupata Afya. Na kiasi kidogo wanajifunza kuuza na kupata kiasi cha fedha Kwa mahitaji Yao. Na kituo Kwa ujumla.
wenye mboga za majani huleta Afya Bora