19/01/2026
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki. Hakika Al-mannur ni shule bora na ya kujitegemea. Hivyo bc mbele tunasonga nyuma mwiko . Almannur ni yetu na hakika itaendlea kuwa ya kwetu.Tunajipongeza kwa hili kufanikisha vyema na kufanya vizur katika kila hatua ya masomo yetu . Tunashkur kwa hili na allah(s.w) atuongoze katoa kila hatua .
Kwa mahitaji zaidi tunawakaribisha katika skuli yetu ya AL- MANNUR ISLAMIC SCHOOL iliyokuwepo njia ya kuelekea Fimba.
Yuu Fy Docta Foum Khadija Viwanja Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum | Fazza Salmin Juma Safia Othman International Fund for Agricultural Development (IFAD) Samson Mikilaudi Ma'aikatar Hajji da Umrah ta Saudiyya Ummy Cafe
10/01/2026
Habariii zenu, kwa hakika mambo yameshakuwa tyr tyr kwa sasa. Hivyo tujiandae kwa kazi na si mchezo ni tarehe 13/01/2026. Karibuni sana.
13/12/2025
Hakika hii ndio furaha ya AL-MANNUR kuwa pamoja na kufrahi, na wazazi kupenda vitu tunavovifanya na kuwapa watoto wetu skuli. Hakika tunajivunia na tunatambua tunachokifanya. Yaa allh tufikishe tunapopataka tena kwa kheir . Inshaallh
Mirza Fakhrul Islam Alamgir Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum | Fazza Salmin Juma Safia Othman Yuu Fy Mwanasala Forodha Musa Mtani Jokhay Mohamed Ramadan Ram Kadam Ma'aikatar Hajji da Umrah ta Saudiyya
02/12/2025
Umoja wetu ni tabasam tosha kufika tunapopataka.
02/12/2025
Maashalllh hakika watoto walipendeza . Allah awajaalie ufaham , heshima, ustaarabu na busara katika kila hatua aaamin. Hakika Al-mannur ipo kuwajali na kuendeleza elimu bora kwa watoto wetu .
01/12/2025
Habariii ndugu; Alhamdulillah kwa kila hatua allh atulinde na atupe nguvu tufanye hili na mengine Inshaallh na pia hongereni watoto wazuri mmependeza kikweli ( Maashalllh )Allah awalinde popote mnapotembea. Aaamin
18/10/2025
Almannur Islamic school . Together we are brilliant 👏.
Karibuni sana .
Docta Foum Zuhura Yunus Hassan mwana wa Ali Halima Shwaib momillionaire FATMA K Yuu Fy Chama Cha Mapinduzi Khadija Viwanja Feisal Ally Halotel Tanzania Wanasah - وناسة 2 Kaka Steve Ahmad Shahzad Hashem Al-Ghaili Tauhid KITA Fadhila afya Al-Mannur Islamic School Haitham Kim Tauhid _ Ma'rifat Mirza Fakhrul Islam Alamgir Khalid Salmin Juma Zainabu Salimu Said Ally Abdul-hamid Ali Billy Haji Abdallah Abuu Abdulwahab Abdullah Abdullah Abduull Abdallah Khamis Abdalh Kisanda Abdulkalimu Khalidi Abdullraheem Hajji Abdulrahmani Juma Mar Mtiga Abdalah
03/10/2025
Almannur Islamic school unakukaribisheni katika usaili wao mpya wa 2025 - 2026. Ada zetu ni nafuu sana. Karibuni sana ndugu wapendwa. Kwa mawasiliano zaid tutafute kwa namba:
0778667994 au 0655656630.
Salmin Juma Halima Shwaib momillionaire Zuhura Yunus Docta Foum Khalid FATMA K Yuu Fy Hassan mwana wa Ali Haitham Kim Khadija Viwanja Abdul-hamid Ali Billy Halotel Tanzania Safia Othman Tauhid _ Ma'rifat Tauhid KITA Ahmad Shahzad Al-Mannur Islamic School Chama Cha Mapinduzi Feisal Ally Kaka Steve Wanasah - وناسة 2 @
27/09/2025
Habari zenu ndugu wazazi, walezi , jamaa na marafiki . Natumai ni wazima na wenye afaya . Tukiendelea na mchakato wetu wa usajili wa wanafunzi ndani ya mwaka 2025- 2026 , hakika huu ni ukumbusho wa kuwahamasisha na kuwapa muelekeo chanya, kwahakika hii ni skuli bora na yenye tija katika maisha ya mtoto wako kwenye kupata elimu bora na manufaa. Mlete mtoto wako asome ili uone matoke chanya yaliyomo katika skuli hii .Hakika utafurahia na wala hautatamani kumtoa.
Karibu sana.
Salmin Juma
Hassan mwana wa Ali
Zuhura Yunus
Halima Shwaib momillionaire
Docta Foum
Yuu Fy
Haitham Kim
Chama Cha Mapinduzi
Abdul-hamid Ali Billy
Kaka Steve
Safia Othman
Tauhid _ Ma'rifat
FATMA K