Al-Mannur Islamic School

Al-Mannur Islamic School

Share

AL-MANNUR ISLAMIC SCHOOL. TUNAPATIKANA BWELEO (NJIA YA FUMBA) - MKOA WA MJINI MAGHRIB UNGUJA.

19/01/2026

Habari zenu ndugu jamaa na marafiki. Hakika Al-mannur ni shule bora na ya kujitegemea. Hivyo bc mbele tunasonga nyuma mwiko . Almannur ni yetu na hakika itaendlea kuwa ya kwetu.Tunajipongeza kwa hili kufanikisha vyema na kufanya vizur katika kila hatua ya masomo yetu . Tunashkur kwa hili na allah(s.w) atuongoze katoa kila hatua .
Kwa mahitaji zaidi tunawakaribisha katika skuli yetu ya AL- MANNUR ISLAMIC SCHOOL iliyokuwepo njia ya kuelekea Fimba.
Yuu Fy Docta Foum Khadija Viwanja Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum | Fazza Salmin Juma Safia Othman International Fund for Agricultural Development (IFAD) Samson Mikilaudi Ma'aikatar Hajji da Umrah ta Saudiyya Ummy Cafe

10/01/2026

Habariii zenu, kwa hakika mambo yameshakuwa tyr tyr kwa sasa. Hivyo tujiandae kwa kazi na si mchezo ni tarehe 13/01/2026. Karibuni sana.

13/12/2025

Hakika hii ndio furaha ya AL-MANNUR kuwa pamoja na kufrahi, na wazazi kupenda vitu tunavovifanya na kuwapa watoto wetu skuli. Hakika tunajivunia na tunatambua tunachokifanya. Yaa allh tufikishe tunapopataka tena kwa kheir . Inshaallh
Mirza Fakhrul Islam Alamgir Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum | Fazza Salmin Juma Safia Othman Yuu Fy Mwanasala Forodha Musa Mtani Jokhay Mohamed Ramadan Ram Kadam Ma'aikatar Hajji da Umrah ta Saudiyya

02/12/2025

Umoja wetu ni tabasam tosha kufika tunapopataka.

02/12/2025

Maashalllh hakika watoto walipendeza . Allah awajaalie ufaham , heshima, ustaarabu na busara katika kila hatua aaamin. Hakika Al-mannur ipo kuwajali na kuendeleza elimu bora kwa watoto wetu .

01/12/2025

Habariii ndugu; Alhamdulillah kwa kila hatua allh atulinde na atupe nguvu tufanye hili na mengine Inshaallh na pia hongereni watoto wazuri mmependeza kikweli ( Maashalllh )Allah awalinde popote mnapotembea. Aaamin

23/10/2025

Karibu sana katika skuli yetu ya AL-MANNUR ISLAMIC SCHOOL iliyopo njia ya fumba. Hakika utafurahia na utapenda jinsi ya usomeshaji wetu na ubora wa tunachokitoa kwa wanafunzi wetu. Huduma zetu ni za uhakika na ni sahihi kwa wanafunzi wetu. Pamoja na wazazi wetu kwa ujumla kutuonesha kuzikubali kwa asilimiz zote. Tunawajali na tunawapenda sana . Hivyo mlete mwanao kwa manufaa na si kukosa kila kitu. Kwa hakika almannur ipo kwa ajili ya kuwapa kitu kizuri na inshaallh hilo ndilo la msingi na muhimu kwetu . Tunaimani kuwa mnatuamin na si tupo pamoja nasi kwa kila hatua. Karibuni sana .
Yuu Fy Haitham Kim Halima Shwaib momillionaire Zuhura Yunus Chama Cha Mapinduzi Kaka Steve Feisal Ally Tauhid _ Ma'rifat Tauhid KITA Ahmad Shahzad Wanasah - وناسة 2 Mirza Fakhrul Islam Alamgir Haji Abdallah Fadhila afya Hashem Al-Ghaili Halotel Tanzania Khadija Viwanja FATMA K Hassan mwana wa Ali Khalid Docta Foum Salmin Juma Taimur Saleh Zainabu Salimu Sam Sam Samiri Nassir Said Ally Abdul-hamid Ali Billy Abuu Abdulwahab Abdullah Abdullah Tauhida Ridhwan Tau Gamma Phi Fraternity Safia Othman Hassan Shehe @

18/10/2025

Almannur Islamic school . Together we are brilliant 👏.
Karibuni sana .
Docta Foum Zuhura Yunus Hassan mwana wa Ali Halima Shwaib momillionaire FATMA K Yuu Fy Chama Cha Mapinduzi Khadija Viwanja Feisal Ally Halotel Tanzania Wanasah - وناسة 2 Kaka Steve Ahmad Shahzad Hashem Al-Ghaili Tauhid KITA Fadhila afya Al-Mannur Islamic School Haitham Kim Tauhid _ Ma'rifat Mirza Fakhrul Islam Alamgir Khalid Salmin Juma Zainabu Salimu Said Ally Abdul-hamid Ali Billy Haji Abdallah Abuu Abdulwahab Abdullah Abdullah Abduull Abdallah Khamis Abdalh Kisanda Abdulkalimu Khalidi Abdullraheem Hajji Abdulrahmani Juma Mar Mtiga Abdalah

03/10/2025

Almannur Islamic school unakukaribisheni katika usaili wao mpya wa 2025 - 2026. Ada zetu ni nafuu sana. Karibuni sana ndugu wapendwa. Kwa mawasiliano zaid tutafute kwa namba:
0778667994 au 0655656630.
Salmin Juma Halima Shwaib momillionaire Zuhura Yunus Docta Foum Khalid FATMA K Yuu Fy Hassan mwana wa Ali Haitham Kim Khadija Viwanja Abdul-hamid Ali Billy Halotel Tanzania Safia Othman Tauhid _ Ma'rifat Tauhid KITA Ahmad Shahzad Al-Mannur Islamic School Chama Cha Mapinduzi Feisal Ally Kaka Steve Wanasah - وناسة 2 @

27/09/2025

Habari zenu ndugu wazazi, walezi , jamaa na marafiki . Natumai ni wazima na wenye afaya . Tukiendelea na mchakato wetu wa usajili wa wanafunzi ndani ya mwaka 2025- 2026 , hakika huu ni ukumbusho wa kuwahamasisha na kuwapa muelekeo chanya, kwahakika hii ni skuli bora na yenye tija katika maisha ya mtoto wako kwenye kupata elimu bora na manufaa. Mlete mtoto wako asome ili uone matoke chanya yaliyomo katika skuli hii .Hakika utafurahia na wala hautatamani kumtoa.
Karibu sana.
Salmin Juma
Hassan mwana wa Ali
Zuhura Yunus
Halima Shwaib momillionaire
Docta Foum
Yuu Fy
Haitham Kim
Chama Cha Mapinduzi
Abdul-hamid Ali Billy
Kaka Steve
Safia Othman
Tauhid _ Ma'rifat
FATMA K

Want your school to be the top-listed School/college in Zanzibar?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

BWELEO/ZANZIBAR
Zanzibar