MAISHA YA MANGE MAREKANI VS MAISHA YA SASA YA WATANZANIA.
Mbeya Wa Zanzibar
Pata habari motomoto
WAKENYA🇰🇪 WAWAKATAA WATANZANIA 🇹🇿.
Wakenya washangazwa na mambo ya ajabu yalofanywa na Watanzania kuharibu miundo mbinu na Amani iliyo dumu kwa miaka mingi.
Watu maarufu kutoka kenya wamepaza sauti zao na kuwakosoa vikali wavunjifu wa Amani na kuwataka watunze Amani na miundombinu ya Tanzania.
Walowashauri ndio wanaowakataa!! Kijana tafakari chukua hatua kwa kulinda Amani ya Taifa letu kwa maslahi mapana ya vizazi vyetu.
MAISHA YA WATOTO WA MANGE MAREKANI🇱🇷 DHIDI YA MAISHA YA WATANZANIA🇹🇿 BAADA YA MAANDAMANO.
Muhamasishaji wa Fujo Tanzania MANGEKIMAMBI akionekana aki trend kwenye mitandao ya kijamii baada ya ushawishi wa machafuko Nchi Tanzania.
Haya ndo maisha ya Watoto wa Mange Marekani waki enjoy maisha na hayo mengine ndo maisha ya Watanzania baada ya Mange kuhamasisha Vurugu Tanzania.
Watoto wetu wanahaki ya ku enjoy maisha kwa amani na utulivu k**a wanavyo enjoy watoto wa Mange Marekani.
Chukua hatua kulinda Amani yetu na kumkataa Mange.
MANGEKIMABI YUKO BIZE NA WANAWE NA SIO WATANZANIA🇹🇿.
Baada ya kuhamasisha vuruga zilopelekea kuharibu miundombinu ya usafiri kwa kuchomwa moto kwa Mwendokasi na kupelekea Watanzania kuzama kwenye shida na dhiki ya usafiri hatimae Mange awakataa watanzania kwakuonesha namna anavyo Enjoy na kula bata na wanawe Marekani.
Watanzania🇹🇿 ni wakati wa kumkataa Mange na kuungana kuijenga Taifa letu na kudumisha Amani ambayo ndo urithi wetu🇹🇿🇹🇿
OMO ABANANISHWA NA ZEC KWA UONGO WAKE.
WAZEE WA PEMBA WAMJIA JUUA OMO.
MPASHUKO WA OMO NA VIONGOZI WENZAKE WA ACT WADHIHIRIKA MKUTANONI.
WANANCHI WA ZANZIBAR WAMSUTA BIMANI.
Kwenye Hali isiyo ya kawaida wananchi wamemsuta Katibu mwenenzi wa ACT Wazalendo ndugu Bimani kwa uongo wake wa wazi kqa wananchi.
Twambie wadau wetu!! Je hii ni ishara ya kufilisika hoja kwa Act wazalendo ?
ACT WAZALENDO WAKUBALI KUMPA MWINYI MITANO TENA.
Wafuasi na wanachama wa Act wazalendo wameungapa pamoja bila ya kujali itikadi zao za kisiasa na kumpa kura za wingi Dk Hussein Ali Mwinyi.
Twambie mdau wetu!!! Hii ishara inamaana gani ?!?!
MASHEIKH PEMBA WAMFUNZA ADABU OMO KUTOMTUKANA KIONGOZI WAKE.
Leo hii kwa mara nyengine tena Masheikh Pemba wampa ukweli OMO na kumfunza adabu juu ya tabia ya kumtukana na kumdhihaki kiongozi wake.
Twambie mdau wetu!! Viongozi wa Dini kumkataa OMO ni ishara ya anguko kubwa kwenye uchaguzi wa 29 Oktoba 2025 ?!?!?!?
VIJANA WA KIZANZIBAR WAMUAMSHA OMO MAANA KITUO CHAKE AMEFIKA.
Je ni kweli mwaka huu ndo mwisho wake qa kuwa makamo wa Raisa wa Zanzibar?!?!?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Zanzibar