Kassim jey

Kassim jey

Share

Special for me

13/09/2021

wa mwanaadamu hakujitosheleza kwa matakwa yake kukamilisha akitakacho

maisha na uwezo wa mwanaadamu ufungamanishwa na matakwa ya muumba kipi amempangia akipate

Hivyo binaadam hawezi kumshusha binaadam mwezake mpka atake mola wake

Mafanikio na kufeli yote Mwenye-Ezi-Mungu ndie dhamana ya kumpa mja *kitokeacho chochote huwa ni sababu ......

atupe kila la kheri katika maisha yetu #

21/03/2021

Huwezi kutamka konsonanti tupu katika lugha njema ya kiswahili ni lazima uwambatanishe na irabu tuweze kupata neno kamili ...

Want your school to be the top-listed School/college in Zanzibar City?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address

Jongowe
Zanzibar City