13/09/2021
wa mwanaadamu hakujitosheleza kwa matakwa yake kukamilisha akitakacho
maisha na uwezo wa mwanaadamu ufungamanishwa na matakwa ya muumba kipi amempangia akipate
Hivyo binaadam hawezi kumshusha binaadam mwezake mpka atake mola wake
Mafanikio na kufeli yote Mwenye-Ezi-Mungu ndie dhamana ya kumpa mja *kitokeacho chochote huwa ni sababu ......
atupe kila la kheri katika maisha yetu #
21/03/2021