Genius Kids Daycare and Nursery school

Genius Kids Daycare and Nursery school Genius kids nursery school is the best center for fostering ,caring ,teaching a child from 2 to 5 years old.

Genius Kids PreschoolHii ni shule ya awali na kituo Cha kulelea watoto wadogo kilichopo halmashauri ya masasi mji mkoani...
25/01/2025

Genius Kids Preschool
Hii ni shule ya awali na kituo Cha kulelea watoto wadogo kilichopo halmashauri ya masasi mji mkoani mtwara.

Ndugu mzazi /mlezi wa maeneo ya karibu na masasi, usajili wa watoto kwa muhula WA kwanza 2025 unaendelea

Tunapokea watoto kuanzia mwaka mmoja na nusu Hadi miaka mitano.

Karibuni sana...Kwa mawasiliano piga simu namba 0653005198/0743364514 (Whatsapp) au fika shuleni.

Genius Kids PreschoolHii ni shule ya awali na kituo Cha kulelea watoto wadogo kilichopo halmashauri ya masasi mji mkoani...
25/01/2025

Genius Kids Preschool
Hii ni shule ya awali na kituo Cha kulelea watoto wadogo kilichopo halmashauri ya masasi mji mkoani mtwara.

Ndugu mzazi /mlezi wa maeneo ya karibu na masasi, usajili wa watoto kwa muhula WA kwanza 2025 unaendelea

Tunapokea watoto kuanzia mwaka mmoja na nusu Hadi miaka mitano.

Karibuni sana...Kwa mawasiliano piga simu namba 0653005198/0743364514 (Whatsapp) au fika shuleni.

Karibuni sana, usajili kwa muhula wa kwanza January 2024/2025 unaendelea
12/12/2023

Karibuni sana, usajili kwa muhula wa kwanza January 2024/2025 unaendelea

05/12/2023

It was a great to moment to celebrate graduation of your brothers and sisters...See how the baby class present the types of food.Welcome Genius kids preschool.Join us @0743364514/+255753203352(Whatsapp).

25/06/2023
Habari wadau wa Genius kids school...Natumaini wote mpo salama...Tukiwa tunamalizia wikiendi ya leo, nimewiwa kushirikis...
25/06/2023

Habari wadau wa Genius kids school...Natumaini wote mpo salama...Tukiwa tunamalizia wikiendi ya leo, nimewiwa kushirikisha kidogo kuhusu kanuni zinazomwongoza baba , mama, au mlezi namna bora ya mwingiliano(Adult -child interavtion)na watoto zetu ili kupelekea makuzi na maendeleo mazuri ya mtoto katika nyanza zote(kiakili,kihisia,kijamii n.k)

Kanuni zinazokuongoza ni hizi zifuatazo
1.Onyesha upendo kwa mtoto..Hii ni kanuni muhimu sana kwani itamfanya mtoto akukumbuke, akupende, akuelewe na kufuata unachokitaka siku zote..Onyesha upendo kwa namna utakayoiona ni nzuri kulingana na mazingira na uchumi wako..

2.Ongea na mwanao(mtoto wako)...Tenga muda wa kukaa na mtoto wako na ongea naye...Kupitia kuongea naye utakuwa rafiki mkubwa na hakika utafirahia kesho yake....itamuesha na mengi, na itakusaidia kujua mengi....Je, ni mara ngapi unatenga muda wa kuzungumza na mtoto wako kuhusu mambo mbalimbali au mda wote tupo busy na maisha ?

3.Msifie(Praise) na kumfahamu/kumthani kwa kile anachofanya k**a ni kuzuri(Appreciably)
Hii itamtiabhamasa katika kile anachofanya na sio kila kitu ni kukosoa kosoa, hii inauwa jitahada ya mtoto kutoka ndani na kuanza kujenga zana ya kuwa yeye ni wa kushindwa kila wakati....Swali la kujiuliza je hili tunalifanya kwa kiasi gani?..

4.Msadie mtoto kuzingatia lengo (help you child to focus)

5.Panua uzoefu wa mtoto katika vitu mbalimbali....Mfano, kwa kutembelea sehemu mbaimbali/mazingira tofauti au kwa kufanya vitu tofautitofauti(exposures)
6.Msaidie mtoto wako kujifunza taratibu,maadili na ukomo wake....
7.Tusiwalazimishe watoto tunavyopenda sisi bali nini mtoto anataka kuwa..
8.Msaidie mtoto kuona yeye ni yeye na hakuna k**a yeye..
..........na,mlezi wa watoto hapa Genius kids......

Tunaendelea kupokea na kusajiri watoto katika kituo chetu , ewe mzazi mlete mwanao katika kituo chetu bora kilichopo nyasa mchema-masasi ,Mtwara.....

Watoto kuanzia wenye umri wa miaka 2.5(miwili na nusu ) mpaka mitano(5) wote mnakaribishwa.

Genius kids preschool tuna amini kesho ya mtoto inanzia hapa..0743364514/0753203352....To share is to care...😁

It  was a wonderful day when children enjoyed playing outdoor activities...welcome at our centre located at Nyasa  Mchem...
06/06/2022

It was a wonderful day when children enjoyed playing outdoor activities...welcome at our centre located at Nyasa Mchema... contact us through +255743364514/+255753203352(WhatsApp)

06/06/2022

It was a wonderful day when children enjoyed outdoor activities

Welcome at Genius Kids Daycare and Nursery school, located at Nyasa Mchema in Masasi Town council...//Karibuni nyote kat...
27/11/2021

Welcome at Genius Kids Daycare and Nursery school, located at Nyasa Mchema in Masasi Town council...//

Karibuni nyote katika kituo chetu cha kulelea watoto na elimu ya awali kilichopo Nyasa Mchema katika Halmashauri ya mji wa Masasi.

Ndugu mzazi/mlezi, tunapenda kukufahamisha kuwa tunaendele kupokea watoto kuanzia miaka 2.5 hadi mitano(5) katika kituo chetu bora za malezi ...
Kwa muhula wa Kwanza 2022/2023.
Ada zetu ni nafuu sana,fomu zinapatikana shuleni..

Kwa mawasiliano piga...+255753203352(WhatsApp),0743364514
KESHO YA MTOTO INAANZIA HAPA,

Genius kids nursery school is the best center for fostering ,caring ,teaching a child from 2 to 5 years old.

Address

Nyasa/Mchema
Vingunguti

Opening Hours

Monday 08:00 - 04:55
Tuesday 08:00 - 05:00
Wednesday 08:00 - 05:00
Thursday 08:00 - 05:00
Friday 08:00 - 12:00
Saturday 08:00 - 12:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Genius Kids Daycare and Nursery school posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Genius Kids Daycare and Nursery school:

Shortcuts

Share

Category