04/11/2021
TANGAZO TANGAZO
Shirika la Mwanangu Development Tanzania
Inapenda kukukaribisha kwenye mafunzo maalum ya maendeleo ya mwanaadam na ustawi wa maisha (Human Development).
Mada zitakuwa k**a ifuatavyo
1. Jinsi ya kuanzisha na kufundisha watoto kwa elimu ya awali na mzingi kwa mfumo wa kiwaldorf, 2. Ukulima wa asilia bila madawa-Biodynamic farming kwa wakulima, 3. Elimu kwa madaktari kuhusu tiba mbalimbali ulimwenguni Antroposophic Medicine, 4. Huduma mbadala kwa wagonjwa itolewayo na wauguzi, 5. Jinsi ya kufanya biashara kwa kuzalisha utajiri kwa wafanyabiashara, 6. Elimu kuhusu maendeleo ya mwanaadam. Watoa mada kutoka bara la ulaya, Africa kusini na Africa Mashariki ikiwepo Tanzania.
Mafunzo yataanza Kuanzia tarehe 12-19/12/2021, Kwa maelekezo zaidi wasiliana na 0754747999
Sambaza kwa magroup mengine