10/08/2026
πΉπΏ ELIMU KWA VIJANA, UZALENDO KWA TAIFA!
Leo, Coastal High School imepata fursa ya kipekee ya kupokea maafisa kutoka Jeshi la Uhamiaji Tanzania, waliokuja kutoa elimu na uelewa kwa wanafunzi kuhusu masuala ya uraia, uhamiaji na taratibu zinazohusiana na sheria za nchi.
Elimu hii ni muhimu katika kuwajengea wanafunzi uelewa wa haki, wajibu na umuhimu wa kufuata sheria na taratibu za nchi, huku wakijiandaa kuwa raia wenye uelewa, nidhamu na uzalendo. πΉπΏπ
Coastal High School β Tunalea akili, tunajenga nidhamu, tunakuza uzalendo.