18/05/2026
TOANI KATIKA VILE AMBAVYO ALLAH AMEWARUZUKU!
“Na toeni katika yale tuliyowaruzuku kabla mauti hayajamfikia mmoja wenu, akasema: ‘Ewe Mola wangu! Lau ungenichelewesha ukanipa muda kidogo nipate kutoa sadaka na niwe miongoni mwa watu wema’
Lakini Allaah hataichelewesha nafsi wakati wake utakapofika. Na Allaah ni mwingi wa habari za mnayoyatenda.
[ Al-Munafiqun 9-10]
Tarjama: Ustadhi Abuu Hudhayfah Abdulkarim Daud Jaabir حفظه الله
Imechapishwa: May 18, 2026M sawa na Dhul hijah 1, 1447H
Kwa Faida zaidi Follow Channel hii ya WhatsApp 👎👎
https://whatsapp.com/channel/0029Vb75L3nElagwIaxzCv0N
◈◉✹❒ 🎙️🎙️ ❒✹◉◈
25/04/2026