27/08/2014
Chagua kabda kuwa rais wa chuo cha utumishi wa umma Tanga
for the use of student
27/08/2014
Chagua kabda kuwa rais wa chuo cha utumishi wa umma Tanga
Chagua KABIDA kwa maendeleo ya chuo cha utumishi wa umma Tanga Mpe kura yako ndg KABIDA awe rais wako sera za kwel na zinazoweza kutekelezeka kwa mda chagua kabida chaguo la wengi
Hellow wanandumi niaje masomo vp
Wapendwa rikizo ndo hyo ina anza kuyoyoma sipati picha hilo kontena Jipya la Diplona&certficate likimwagwa mji wa matumizi
cku njema woteee!!
Ua xo wellocome
Hellow LÎKÏZO IKO VP?
Bob! Bob! Bob!...........Bonge la paty ni ndani ya Jumamosi ya tar 23/12/2013 nikuanzia saa 12jion
karbuni wanachuo wote Tpsc tanga
Part part part part!!!!!!
Tunapenda kuwatangazia kuwa kutakuwa na part tarehe 23.11.2013 Ni ndani ya men dom.
sh.3000/=
sh.5000/=Tunaomba mchango wenu MAN'S Mwisho wa mchago jumatano tar 21/11/2013 Ni Full shangweeeeeee!!!!!!
MNATANGAZIWA KUWA SHERIA ZA DOMU LENU ZIMEBANDIKWA
NA MWANASHERIA WA DOM ANATOA ANGALIZO SHERIA ZIFWATWE
Hallow wise man!