01/12/2017
Today is world's AIDS day,It is certain that ending the AIDS epidemic will mean so much to so many. It will mean zero new HIV infections, zero people dying of AIDS—and all people living with dignity and without fear of discrimination. Ending AIDS will mean celebrating birthdays instead of attending funerals.
But make no mistake, stigma, denial and complacency are still among us, putting us in danger of failing the next generation. We must join our hearts and our voices––together we are stronger.
The world is poised to end AIDS and if we stay true to our vision we will remember this as the day that a lifelong of dreams began to transform into reality.
Leo ni siku ya ukimwi duniani, ni dhahiri kwamba kutokomeza ukimwi kuna maana kubwa sana Kwa wali wengi. Maambukizi mapya sifuri, kutokomeza vifo,na watu kuishi Kwa utu bila hofu ya kunyanyapaliwa.Kutokomeza ukimwi kuna maana ya kusherehekea kuzaliwa badala ya kuhudhuria mazishi.
Usifanye makosa,unyanyapaa na kutokukubaliana na hali halisi bado kupo katika jamii zetu,huku kunatuweka hataruni na kuharibu kizazi kijacho.
Ni lazima tuungane pamoja--pamoja tunaweza.
Dunia nzima imehabarishwa kutokomeza UKIMWI, k**a tukiwa wakweli katika hili tutaikumbuka k**a siku ambayo ndoto zetu zilianza kutimia kweli