23/04/2021
Tujitahidi kutoa katika mwezi huu wa Ramadhani kwa sababu ni mwezi wenye baraka
Na swadaka haipunguzi kitu chochote kwenye Mali Bali huongeza
Siku ya Qiama utavikuta vile vyote ulivyovitoa
Fawaida kutoka katika Quran na hadithi za mtume(swala llahu alayhi wasallam)
Mtwara
2010
Be the first to know and let us send you an email when Qur'an and sunnah posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.