10/03/2026
Uongozi wa Chuo Kikuu kishiriki cha Stella Maris Mtwara University College unatoa pole kwa familia ya Profesa Mahalu, pamoja na Jumuiya nzima ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania (SAUT) kufuatia Kifo cha Makamu Mkuu wa SAUT. Balozi, Profesa Costa Ricky Mahalu.
"Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele Umwangazie Apumzike kwa Amani. Amina"
🙏🙏🙏🙏🙏