Al-qalaamiddiin Islaamiyyah Madrasa

Al-qalaamiddiin Islaamiyyah Madrasa Tunafundisha KUHUSU ELIMU ya dini. (Qur-an na Sunna)

10/02/2023
Kwajina la M, mungu mwingi wa rehma mwenye kurehemu Naapa kwa nyakati za alaasili,  kahika ya Mtu(mwanaadamu) yupo ktk k...
27/01/2023

Kwajina la M, mungu mwingi wa rehma mwenye kurehemu

Naapa kwa nyakati za alaasili, kahika ya Mtu(mwanaadamu) yupo ktk khasara, isipokua yule ambae aliye amini na kutenda matendo Mema, wakausiana kuhusu haqq na wakahusiana kuhusu subra(kusubiri)"

Niwazi kuwa binaadamu hatujakamilika, Kila mmoja anamapungufu na madhahifu yake,

Pindi ukimdharau mtu kwa mapungufu ama madhaifu yake, bas hakika iposiku nawewe utadharaulika

Kinyumechake, ukimueshimu licha ya mapungufu na madhahifu yake nawewe atakuheshimu na utaheshimika,

Pia pindi ukiona mtu yamemfika mazito muombee huruma nawala si kumcheka au kumkandamiza kwa makali ya dhihaki na kebei

"Umtendeavyo mwenzako nawewe utatendewa"
Pia usimcheke mwenzako pindi atakapofikwa na Mtihani.

Niwazikuwa mitihani tumeumbiwa na kila mja atakutana na wakwake aliyo qadiriwa.

Na mja hupewa mtihani na molawake kulingana na kiwango cha imaniyake, na endapo pindi akiushinda na kufahuru mtihani huwo kwa subra na swala๐Ÿ™ bila ya kupoteza imaniyake. Bas Hupandishwa daraja mtuhuyo mbele ya molawake,
Na M, mungu huwa pamoja nae mtuhuyo

"Inna llah ma'asswaabiriyn!!

27/01/2023
29/01/2021

ุจุณู… ุงู„ู„ู‡ ุงู„ุฑุญู…ู† ุงู„ุฑุญูŠู…
ุงู„ุณู„ุงู… ุนู„ูŠฺฉู… ูˆุฑุญู…ุฉ ุงู„ู„ู‡ ...
DINI SI USHABIKI BALI NI ELIMU YAKE
Masheikhe,wanawazuoni na maulamaa ndio warithi wa Mtume (s.a.w)

Waislamu na waumini inatulazimu kuwasikiliza na kuwafuata wao na watuelekeze pindi tunapo potea.

Ila kumbuka kuwa Wana wa zuoni, masheikhe austadhi,Maulamaa na Viongozi mbalimbali wa dini
Naopia ni BINADAMU.

Napindi tunapotereza Kwa kukosea ama kusahau, MUONGOZOWETU MKUU NI KITABU CHA ALLAH NA SUNNA (HADITH/MAFUNDISHO SAHIHI ZA MTUME(s.a.w)). Natumefundishwa kua waumini wa kweli pindi wanaposiki maneno kutoka kwa Mwenyeezimumgu na mtumewake(s.a.w) huwa wanasema tu"TUMESIKIA NA TUME KWII"

ู‚ุงู„ ุฑุณูˆู„ ุงู„ู„ู‡ ุตู„ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู…:
ุงู„ู…ุณู„ู…ูˆู† ุฅุฎูˆุฉ ู„ุง ูุตู„ ู„ุฃุญุฏ ุนู„ู‰ ุฃุญุฏ ุฅู„ุง ุจุงู„ุชู‚ูˆู‰.
Yaa ALLAH tuhifadhi kutokana na Fedhea dhidi ya mapungufu na madhahifu yetu!

Ijumaa kariym.

ุจุณู… ุงู„ู„ู‡ ุงู„ุฑุญู…ู† ุงู„ุฑุญูŠู…MAASHAA ALLAH!!    Kongamano kubwa lawaislamu lenye hadhi ya kipekee. Ililo jumuisha Viongozi mbal...
23/01/2021

ุจุณู… ุงู„ู„ู‡ ุงู„ุฑุญู…ู† ุงู„ุฑุญูŠู…
MAASHAA ALLAH!!
Kongamano kubwa lawaislamu lenye hadhi ya kipekee. Ililo jumuisha Viongozi mbalimbali wa dini,ikiwemo masheikhe mbalimbali kutoka mikoani ndani na nnje ya nchi ya tanzania ikiwemo tahasisi za kidini kwa kushirikiana na Viongozi mbalimbali wa nchi ya tanzania wote kwa umoja wao. Lilo fanyika ndani ya chuo kiku cha waislamu morogoro Tanzania (Mum).

KTK KUELEZEA UTARATIBU MZIMA WA MAISHA YA UISLAMU NA NA WAISLAMU KTK JAMII.

Kwa habari k**a hizi na nyenginezo Fuatilia katika vipindi mbalimbali vya matanganzo katika Vyombo vya habari vya kiislamu na kitaifa.
IKIWEMO TV Iman,na TBC taifa
Pia Radio Iman na MUM Fm.

Basi hii ndio sauti ya TAALUMA na wala elimu haina MIPAKA!!!

Tr 23/01/2021
SHUK RAN

ุจุณู… ุงู„ู„ู‡ ุงู„ุฑุญู…ู† ุงู„ุญูŠู…        UFUNGUO WA PEPONIAwa hapa Wazingatie Sana ktk maishayako Mana pepo ndio ipo chiniyao.(1)MWE...
15/01/2021

ุจุณู… ุงู„ู„ู‡ ุงู„ุฑุญู…ู† ุงู„ุญูŠู…

UFUNGUO WA PEPONI

Awa hapa Wazingatie Sana ktk maishayako Mana pepo ndio ipo chiniyao.

(1)MWENYEEZI (MUNGU(s.w))
(2)MITUME/MTUME WAKE(s.a.w)
(3)MAMA/BABA YAKO. /(MUME)
(4)BABA/MAMA YAKO. /(MUME)

Umpende M.Mungu(s.w) na Mtumewake(s.a.w)kikwelikweli kuliko unavyopenda chochote ama hata nafsiyako. Apo ndipo Utakapokua umeingia kwenye sifa ya imani iliyo kamilika.

Baba na mama ndio nguzo ya dunia WAPENDE WOTE!! Na uwatendee wema zaidi.

Mhesimu/usimdharau kila mmoja ktk jamii na uwatendee wema pia.

Al qalaamiddiin islaamiyyah madrasa inapenda, Tunapenda kuwakaribisha wote tena katika mwaka wa masomo
2021-2022 Shukriya Allah kwa kutufikisha.
Wabillah taufiyq
KARIBINI NA AHSANTENI SANA. KWA USHIRIKIANO WENU MNAO TUPATIA JAZAAKUMU LLAHU KHAYRA
WASSALAAMU A'LAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKAATUH.

ุจุณู… ุงู„ู„ู‡ ุงู„ุฑุญู…ู† ุงู„ุญูŠู…  MAADILI KTK UISLAMUTuliahidi kua tutaendelea...Kiujummla mtu awezikua n Muislamu alieisoma Dini n...
14/01/2021

ุจุณู… ุงู„ู„ู‡ ุงู„ุฑุญู…ู† ุงู„ุญูŠู…
MAADILI KTK UISLAMU
Tuliahidi kua tutaendelea...
Kiujummla mtu awezikua n Muislamu alieisoma Dini na akaielewa na kuifahamu vizuri na kuifanyia kazi kisha akawa asiye na tabianjema,nidhamu ama Maadili. Labda awe ajakamilika kielimu au akukuzwa kinidhamu na kitaratibu za Dini ama Allah hakutaka kumuongoa. Pia kukisea ama kutereza kupo!! Na ninani kati ya maadui zako wakubwa kuliko yule anae kuombea,kukuchunguza ama kukutegezea makosa Ili apate kukudharirisha!!? Basi Dini ni kunasihiyana na akuna mkamilifu Ila Allah (s.w)pekeuake.
"Allah tuongoze ktk njia iliyo nyooka"
VIPENGELE VYA TABIA NJEMA Viko vingi Sana.Natulivyo tarajia kuviorodhesha n zaidi ya thelathini na Sana(37). Lengoletu Kujielimisha jamii Nawala Elimu haina mipaka!
Kwfaida zaidi endelea kupitia ukurasa wetu huu fa FB ama jiunge na magroup yetu ya kiislamu.

Uislamu ni fahariyetu/qur an n nuru ya ulimwengu mzima.

NB:Harith bin Wahab(r.w) ameelezakua Mtume wa Allah Amesema:"Yule ambaye tabia yake n mbaya na katili,hatoingia peponi".(Abu Daud).
Shukran
Wassalaamu a'laykum warahmatullah wabarakaatuh.

Bissmillahr rahmanir rahiim   MAADILI KTK UISLAMUVipengele vya tabianjema(1)Kujielimisha kwaajili ya Allah Elimu ndio za...
13/01/2021

Bissmillahr rahmanir rahiim
MAADILI KTK UISLAMU
Vipengele vya tabianjema
(1)Kujielimisha kwaajili ya Allah Elimu ndio zana aliyotunukiwa mwanadamu ili aitumie kutekeleza majukumuyake k**a khalifa wa Allah.Jambolakwanza alilopewa baba yetu Adam(a.s)Baadayakuumbwa ni ELIMU:-...ูˆุนู„ู… ุกุงุงู„ุฃุณู…ุงุกฺฉู„ู‡โ€ุง
"Na(Allah (s.w))akamfundisha Adamu majina ya vitu vyote...(2:31) na Elimu ndio jambo lakwanza kupewa hata Mtume (s.a.w) uk:ktk suuratul alkhalaq (96:1-5).,(2)kuwa na hekma:- kwa uchache hekma n kuhukumu uamuzi stahiki wenye majibu chanya kwakuzingatia wati mazingira mahala na muongozowake kwa kuchunga maelekezo ya vitabu na sunnah kulingana na mipaka ya Allah (s.w) Uk:-(2:269). Allah humpa hekma amtakae...
(3)Ikhlas:-kufanya kila jambojema kwaajili ya Allah...! Uk (76:8-10)pia uk(92:17-21)pia uk(6:79)pia uk (6:162-163)n.k (4)Kujiepusha na Riha na Kujiona:-Ria n kinyume cha Ikhlas. Na mwenyekufanyaria ata akiwa muislamu bas hana malipo yoyote uk(11:15-16)pia(107:4).,(5)Kuepuka UNAFIKI Mnafki ni yule anaeukubali Uislamu mdomoni tu... Wenyesifa tajwa ktk suuratul albaqara uk(2:8-9)pia(4:145) n.k
(6)Kua Mkweli:-Ukweli n uhakika wa jambo..uk(9:119)"Msemakweli n mpenzi wa Mungu(Allah)"uk(5:119),(33:53)nk
(7) Kujiepusha na Uwongo:-Uongo ni kinyume cha ukweli uk(17:81)"Nasema: Ukweli umefika na Uwongo ume..." (8)Kuwa Muaminifu (kuchunga Amana):-Amana ni uaminifu.kuchunga uaminifi uk:-(33:72)"Kwa hakika sisi tulidhihirisha Amana juu ya mbingu na ardhini na milima..."pia Amana imezungumzwa na kueleza ktk aya mbalimba za Qur an Uk(6:162-163),(8:27-28),(23:1)n.k Ziko sehemu nyingi za kuchunga Amana. Ikiwemo :-
AINA ZA AMANA
Uongozi,Madaraka,Uchaguzi,Kazi,Mali ya Umma,Siri,Kuwa muadirifu,Kuchunga AHADI. {AHADI Ikiwemo :- Deni ni ahd,Nadhiri n ahd na Mikataba ni AHADI.},Kuwa na kauli Njema uk:qur an(41:33),(17:53)pia(16:125)n.k na Hadithi mbalimbali zimezungumzia nmn ya kua na kauli Njema. MfanoSahl bin Sa'd(r.a) ameelezakua Mtume amesema"...ITAENDELEA inshallah.

Bissmillahr rahmanir rahiim  Maadi ktk UislamuKwaujumla, Maadili ni utaratibu au mwenendo wa maisha unaoaminika kuwa sah...
12/01/2021

Bissmillahr rahmanir rahiim
Maadi ktk Uislamu
Kwaujumla, Maadili ni utaratibu au mwenendo wa maisha unaoaminika kuwa sahh na kufuatwa na jamii husika.
Ktk Uislamu MAADILI ni mwenendo wa maisha anaouridhia Allah (s.w) unaolandana na mwongozo wa qur'an na sunnah.
Mtu anaeishi kwa kufuata maadili ya jamii husika uhisabika kuwa mtu mwenye tabia njema au mwenendo mzur.ktk Uislamu, Mtu mwenye tabia njema nyule anayejipamba na vipengele vya tabianjema njema vilivyo ainishwa ktk Qur an na Hadithi za Mtume (s.a.w)
Mtume (s.a.w)alikuwa na tabia njema iliyopea K**a Allah (s.w) anvyomsifu: ูˆุฅู†ูƒ ู„ุนู„ูŠ ุฎู„ู‚ ุนุธูŠู…
"Bilashakka wewMuhammad(s.a.w) unatabia njemakabisa"(68:4)
Nawaumini wameamrishwa kumfanya Mtume kiigizo chema kwa mwenendo na tabia njema:...ู„ู‚ุฏ ฺฉุงู† ู„ฺฉู… ููŠ ุฑุณูˆู„...
"Bilashakka mnao mfanomwema kwa mtume...(33:21)
Mtume (s.a.w) mwenyewe amewahimiza waumini kujipamba na tabia njema k**a anvyotufundisha:-
Abdullah bin Amr (r.a) ameelezakua Mtume amesema"Aliye kipenzichangu kuliko wote ktk nyinyi waislamu n yulealiyewazidi kwa tabianjema"(Bukhari) pia Harithat bin Wahab (r.a) ameelezakua Mtume amesema"Mwenye iman iliyopea ktk Waislamu n yule mwenye tabia njema,na aliyembora ktknyiny n yule anayemtendea wema mkewe"(Tirmidh) pia Abu Hurairah (r.a) Ameelezakua Mtume amesema"Hapanakitu kitakachotia uzito ktk mizani ya muumin ktk skuya hukum kuliko tabia njema..."(Tirmidh) pia Abu Hurairah (r.a) ameelezakua Mtume aliulizwa juuyamambo yatakayompelekea watu wengikuia peponi.Akajibu"UchajiMungu na tabia njema"kisha akaulizwatena ni yepi yatakayompelekea Mtu kiigizo moton? akajibu"Mdomo na tupu (sehemu za siri)"(Tirmidh)
HIVYO Muumin wa kweli hanabudi kujipamba na vipengele vya tabia njema vilivyo ainishwa ktk Qur an Hadithi sahh za Mtume (s.a.w)
VIPENGELE VYA TABIA NJEMA
(1)Kujielimisha kwa Ajili ya Allah (2)kuwa na hekma (3)lkhlas(4) Kujiepusha na Riha na Kujiona (5)Kueouka Unafiki (6)kuwa Mkweli(7) Kujiepusha na Uwongo(8)kuwa Muaminifu(kuchungaAmana)
AMANA ikiwemo..itaendelea

UislamuDiniyetu ilishakamilika Diniyetu inahitajia wasomi na wala si ubabaishaji, Diniyetu inahitajia watu wenyeuwezo wa...
05/01/2021

Uislamu
Diniyetu ilishakamilika Diniyetu inahitajia wasomi na wala si ubabaishaji, Diniyetu inahitajia watu wenyeuwezo wa kuchanganua na na kupambanua baina ya haqqi na batili

Yotehayo yatapatikana endapo watu watapata ELIMUYAKE

Enyi ummat MUHAMMAD(S.A.W) Tusomeni Diniyetu na Diniayetu ILI TUSIBURUZWE!!!

http://ww.co.qallamiddiin.com

01/01/2021

TUFANYE MAMBOYETU YOTE ILA TUSISAHAU UMUIMU WA ELIMU.
Mana ELIMU ya dini ndio dini yenyewe na QUR AN ndio muongozo wetu mkuu.

http://ww.co.qallamiddiin.com

Lengo la page hii ni kupeana taarifa muhimu za madrasa,tanzania na ulimwengu kwa ujumla kwa kuzingatia maadili ya kiislaamu,kiutu,kijamii na kitanzania.

Address

AL-MADRASATIL QALAAMIDDIIN ISLAAMIYYAH. (shule Ya Mambo Ya Dini Ya Kiislamu) S. L. P 11 MKWAJUNI TUNGI MOROGORO
Morogoro
WWW.QALAAMIDDIINISLAAMIYYAH.COM

Opening Hours

Monday 09:00 - 05:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Al-qalaamiddiin Islaamiyyah Madrasa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Al-qalaamiddiin Islaamiyyah Madrasa:

Shortcuts

Share

Category