30/09/2020
Ilani Ya Uchaguzi ya CCM Ya Mwaka 2015-2020 imetekelezwa kwa Asilimia kubwa Sana
Na Imeleta matokeo Chanya kwa Taifa la Tanzania maendeleo ya kiuchumi,Huduma za Jamii,Michezo,Biashara,Miundombinu nk.
Sasa CCM imekujan na Ilani nyingine ya Uchaguzi ya Mwaka 2020-2025 Ilan Imejipambanua vyema Sana Ikieleza ni Namna Gani Taifa la Tanzania litakuwa maradufu na Kuongeza Unafuu wa Maisha Kwa Wananchi Wake Chini ya Uongozi Wa Mwenyekiti Wa CCM Taifa Dkt John Joseph Pombe Magufuli.
Tarehe 28-10-2020 Chagua Magufuli chagua CCM