15/04/2023
Hata k**a umeishia shule ya msingi,secondary au chuo kikuu njoo ujifunze fani ambazo zitakukwamua na tatizo la ajira kwa kujiajiri mwenyewe au kuajiriwa kwa ada nafuu na muda mfupi.kwa kozi zifuatazo
1.Ualimu wa shule za awali(nursery teaching) kozi ya mwaka mmoja
2.Hotel Management and hospitality (kozi ya mwaka mmoja
3.Ususi na urembo ..hapa utajifunza kusuka mitindo yote,mambo yote ya saluni ,makeup pamoja na kupamba maharusi,
4.Upambaji wa ukumbi na upishi wa cake..hapa utajifunza kupamba kumbi za shughuli zote za serikali na kijamii.cake aina zote na kuzipamba
5.Electical installation (umeme wa majumbani)
6. Ufundi seremala hapa utajifunza
kutengeneza fenicha mbali mbali za kisasa
Hostel nzuri zenye maji na umeme pamoja na chakula kwa wanao toka Mbali..
Ada zetu ni nafuu na Unaweza kulipa ada kwa awamu mbili hadi tatu.
TUPO Mikese Morogoro..kwa taarifa zaidi tupigie 0683105678. au watsup 0629165810.