24/10/2017
MAHAFALI YA 2 YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI ST. MARCUS YAFANA MBEYA
ST. MARCUS SCHOOLS is a group of schools from pre-schools, primary school and secondary schoolwith both boarding and day.
19/10/2017
MAHAFALI YA PILI YA KIDATO CHA NNE ST. MARCUS SECONDARY SCHOOL
St. Marcus ni shule ya kisasa inayofundisha watoto katika maadili mema, na kwa elimu ya kiwango cha juu.
Ni shule inayoongoza kwa kufaurisha mkoa wa Mbeya.
Shule ipo Mbeya pembeni kidogo ya Mji wa Mbeya.
30/08/2017
st.marcus schools tumeanza kutoa fomu kwa mwaka 2018.karibu.
Msimu mpya wa wapi utampeleka mtoto wako kuanza masomo ya kidato cha kwanza umeshaanza. Fikiria vyema na umlete mtoto wako katika shule ya kisasa na yenye walimu wakutosha na wenye uzoefu na maadili ya kumlea mtoto wako.
St. Marcus Secondary School ndio mahali pekee panapomfaa mwanao.
Shule iko Mbeya mjini na iko katika mzingira mazuri kwa mwanafunzi kujisomea.
Shule ni ya bweni na kutwa, na usafiri upo kila wakati.
UNAKARIBISHWA SANA
Welcome to st Marcus schools.located at mbeya city
Welcome to st Marcus schools.located at mbeya city.
Mbeya
02/11/2014