01/03/2026
Hatimaye Uzinduzi wa ONEVOICE27 TRVF, umekamilika.
Sasa Kazi ya utume inaendelea.
Kushoto ni Paul Ndaro Mkuu wa Huduma, Kulia ni Gidion Mazengo Mkurugenzi wa Shule ya Sabato, na katikati ni Given Sanga Mzee wa Kanisa, Mji Mwema Sda Church Arusha.
Uzinduzi ulifanyikia Njiro Sda church Arusha, 28February2026.
Bwana Atupatie Roho Mtakatifu tumalize kazi.