08/03/2025
"Kwanza niwatoe wasiwasi mashabiki wa soka na wadau kwa ujumla. Mchezo [wa Simba na Yanga] upo palepale k**a ambavyo kalenda yetu ya soka inavyosema, hakuna mabadiliko yoyote, mashabiki wajipange kuja kutazama mchezo." – Steven Mnguto, Mwenyekiti Bodi ya Ligi Kuu Tanzania
Chanzo: Mwanaspoti