Chuo cha Misitu na Viwanda Mafinga - FWITC

Chuo cha Misitu na Viwanda Mafinga - FWITC Tunatoa Mafunzo ya Ufundi Stadi katika ngazi ya Astashahada NVA Level I-III katika fani za Misitu, Viwanda vya Misitu na Useremala.

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII ATEMBELEA KITUO CHA MAFUNZO YA MISITU NA VIWANDA VYA MISITU (FWITC)Waziri wa Maliasili na ...
25/11/2024

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII ATEMBELEA KITUO CHA MAFUNZO YA MISITU NA VIWANDA VYA MISITU (FWITC)

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) leo Novemba 25, 2024 ametembelea Kituo cha Mafunzo ya Misitu na Viwanda vya Misitu Mafinga (FWITC) kwa lengo la kukagua shughuli zinazofanyika hapa Kituoni.

Mhe. Chana amezungumza na wanafunzi wanaosoma fani ya Misitu na Viwanda vya Misitu ngazi ya VET level I ,II & III na kuwataka wasome kwa bidii ili kuweza kuwa wahifadhi wazalendo pamoja na kuongeza thamani kwenye mnyororo wa mazao ya misitu.

Mhe. Chana pia amepata nafasi ya kukagua shughuli zinazofanyika kwenye karakana ya kutengeneza samani na kupongeza uongozi wa Kituo kwa kuzalisha samani bora na za kisasa.

ZIARA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII KITUO CHA MAFUNZO YA MISITU NA VIWANDA VYA MISITU  (FWITC) - MAFINGA.Waziri wa Ma...
08/10/2024

ZIARA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII KITUO CHA MAFUNZO YA MISITU NA VIWANDA VYA MISITU (FWITC) - MAFINGA.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ametembelea Kituo cha Mafunzo ya Misitu na Viwanda vya Misitu 7.10.2024 ambapo amefanya kikao na watumishi na kupokea taarifa ya utendaji kazi.

Akizungumza katika kikao hicho Mhe. Pindi Chana amepongeza utendaji kazi wa Kituo huku akisisitiza kuendelea kujiimarisha ili kukuza soko la bidhaa za Misitu zinazotengenezwa hapa Kituoni. Aidha Mhe. Pindi ametoa pongezi kwa watanzania pamoja na wadau wanaokitumia Chuo kwa lengo la kupata mafunzo ya Misitu na Viwanda vya Misitu.

Karibuni sana!
04/08/2024

Karibuni sana!

09/07/2024
Chuo cha Misitu na Viwanda vya Misitu FWITC, tayari kimetoa wahitimu mahiri ili kwenda kuongeza uhifadhi wa rasimali Mis...
03/07/2024

Chuo cha Misitu na Viwanda vya Misitu FWITC, tayari kimetoa wahitimu mahiri ili kwenda kuongeza uhifadhi wa rasimali Misitu na kuongeza thamani kwenye mnyororo wa misitu.

Pichani ni matukio ya mahafali yaliyofanyika 2.7.2024. Mahafali hayo yaliudhuriwa pia na viongozi mbalimbali akiwemo Mh Mbunge wa Jimbo la Mafinga mjini, baadhi ya wakuu wa vyuo vya Maliasili na Taasisi nyingine.

Bado tunapokea fomu za maombi ya nafasi za masoma kwa mwaka wa masomo 2024/2025 Wasiliana nasi kwa simu 0763 320 102


Tanzania Forest Services Agency

Nyote mnakaribishwa
28/06/2024

Nyote mnakaribishwa

Chuo cha Misitu na Viwanda Mafinga - FWITC kinatoa kozi za Uchakataji Mazao ya Misitu Ngazi ya VET (NVA - Level I-III) K...
31/05/2024

Chuo cha Misitu na Viwanda Mafinga - FWITC kinatoa kozi za Uchakataji Mazao ya Misitu Ngazi ya VET (NVA - Level I-III) Kwa mwaka wa masomo 2024/2025.

Nafasi zimebaki chache, wahi sasa.

Jisajili sasa kupitia tovuti yetu ya www.fwitc.ac.tz au piga simu 0763320102

Nafasi za Masomo mwaka 2024/2025, wahi sasa nafasi ni chache.Wasiliana nasi kwa simu no. 0763 320 102Tovuti yetu. www.fw...
29/04/2024

Nafasi za Masomo mwaka 2024/2025, wahi sasa nafasi ni chache.

Wasiliana nasi kwa simu no. 0763 320 102
Tovuti yetu. www.fwitc.ac.tz

🌱🌳 Kuwekeza katika mbegu bora za miti ni muhimu kwa afya ya misitu yetu. Mbegu hizi zina uwezo wa kuleta mapinduzi ya mi...
15/04/2024

🌱🌳 Kuwekeza katika mbegu bora za miti ni muhimu kwa afya ya misitu yetu. Mbegu hizi zina uwezo wa kuleta mapinduzi ya misitu kwa kuzalisha miti ambayo inastahimili zaidi mabadiliko ya hali ya hewa na magonjwa. Zaidi ya hayo, zinaweza kuongeza ubora wa mbao, kuongeza tija, na kukuza bioanuwai.

kwa mahitaji ya miche ya miti iliyoboroshwa, tafadhari wasiliana nasi kwa namba 0763 320 102 au kwa barau pepe, [email protected]

Tanzania Forest Services Agency Tfs Saohill Participatory Plantation Forestry Programme - Panda Miti Kibiashara

05/07/2023

Selected Applicants to join VET courses at FWITC 2023/2024

https://fwitc.ac.tz/Tafadhari pakua fomu ya maombi ya kujiunga na chuo kwa mwaka 2023/2014 kwenye tovuti ya chuo hapo ju...
15/05/2023

https://fwitc.ac.tz/

Tafadhari pakua fomu ya maombi ya kujiunga na chuo kwa mwaka 2023/2014 kwenye tovuti ya chuo hapo juu.

Competence-based vocational education and training with other types of short term worker-level training are essential for any sector to grow and develop. This is particularly true in the developing countries, where worker-level training has been largely neglected. In Tanzanian many forestry and wood...

Address

P. O. BOX 516
Mafinga
255

Opening Hours

Monday 07:30 - 17:00
Tuesday 07:30 - 17:00
Wednesday 07:30 - 17:00
Thursday 07:30 - 17:00
Friday 07:30 - 17:00

Telephone

+255763320102

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chuo cha Misitu na Viwanda Mafinga - FWITC posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Chuo cha Misitu na Viwanda Mafinga - FWITC:

Shortcuts

Share

Category