Cure Asthma/Tiba ya PUMU ya asili

Cure Asthma/Tiba ya PUMU ya asili CURE ASTHMA Tunatibu pumu kwa tiba Asilia

BAWASIRI  {HEMORRHOIDS}Kausha majani ya SIDA ACUTA kisha  pondaponda upate unga wake .Changanya kijiko kimoja cha mezani...
04/12/2025

BAWASIRI {HEMORRHOIDS}

Kausha majani ya SIDA ACUTA kisha pondaponda upate unga wake .Changanya kijiko kimoja cha mezani cha unga wa majani ya mmea huo pamoja na kijiko kimoja cha mezani cha unga wa Binzari Manjano Kwenye maji ya moto .Kunywa kila siku kwa siku 14.Utapona.

Bawasiri ya nje .

Kwa ajili ya kupaka...

Pondaponda Binzari Manjano mbichi hadi iwe rojorojo kisha changanya na mafuta ya nazi.Paka rojorojo hiyo kwenye eneo la Bawasiri yako .mara mbili kwa siku. Baada ya saa moja waweza kuosha au kuoga.. fanya hivi kwa siku 5 hadi 7.

Waweza tumia zote 2 kwa wakati mmoja siyo mbaya.

Unataka Package iliyo tayari ??
Sogea Dm upokee kwa Wivu mkubwaa🗯️🀄️

Address

Kigoma

Telephone

+255627851253

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cure Asthma/Tiba ya PUMU ya asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Cure Asthma/Tiba ya PUMU ya asili:

Shortcuts

Share