30/07/2021
Pichani ni Raisi wa serikali ya wanafunzi MASO ndugu ( ) na Raisi mstaafu wa serikali ya wanafunzi MASO ndugu ( ) wakiwa pamoja na wanafunzi wa mwaka wa tatu walio shirika katika kuhitimisha kozi ya uongozi na maadili ilio fanyika leo katika ukumbi wa NLT, MNMA