08/05/2024
Ndg. Fedrick Msanjila, mkuu wetu wa shule ya Onatoore. Anapenda kuwakaribisha wazazi na walezi wote wa eneo la Kibaha kuleta watoto katika shule yetu ili kupata elimu bora katika mazingira safi. Ada ni nafuu na unaweza kulipa hadi kwa awamu NNE kwa mwaka. KARIBUNI SANA.