19/10/2021
Sumai Islamic Day Care Centre inatangaza nafasi za masomo kwa mwaka 2022. Tunatumia Kiingereza kutoa elimu na malezi. Tunafundisha masomo ya Kiswahili, Communication, Relation, Artistic, Environmental Care, Health Care, Early Arithmetic, na Maarifa ya Dini ya Kiislamu. Ada zetu ni nafuu Sana na hulipwa kwa awamu nne. Tunao walimu waliobobea katika malezi na elimu kwa watoto wadogo. Kituo kipo Manispaa ya Mtwara Mikindani. Fomu za kujiunga na masomo zinapatikana kituoni Sumai. Watoto wanaingia kituoni saa 1 Asubuhi Hadi saa 10 jioni. Watoto wanapata chakula Bora kila siku. Ewe mzazi mlete mwanao Sumai Islamic Day Care Centre apate elimu na malezi bora. Umri wa watoto ni kuanzia miaka 2 hadi 5.5. Kwa mawasiliano simu au WhatsApp 0653 897 905 au 0623 507 527. Wote mnakaribishwa.