05/12/2020
Ni mategemeo yetu Hawa mawaziri wateule watafanya kazi nzuri ili kuleta mabadiliko chanya.
U T E U Z I
Mawaziri wapya 5 Disemba 2020
1.Wizara ya Maji -Juma Aweso
2.Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama
4.Wazira ya Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu katibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya
6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako
8.Wizara ya Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Wizara ya Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas
10.Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo
11.Wizara ya Madini Dotto Biteko
12.Wizara ya Nishati Dkt Medard Kalemani
13.Wizara Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Wizara ya Kilimo Prof.Adolph Mkenda.
15.Wizara ya Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Wizara ya Mambo ya ndani George Simbachawene
17.Wizara ya Muungano na Mazingara Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile
19.Wizara ya Fedha Dkt Philip Mpango
20.Wizara Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi
21. Wizara ya Ardhi-William Lukuvi
22.Wizara ya Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa
23.Wizara ya Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika