27/12/2023
Tafiti nyingi zina thibitisha kwamba umbali.(Distance) ni sumu kubwa sana kwenye mahusiano ya watu iwe kabla ya ndoa au kwenye ndoa,
Umbali umewagharimu wapenzi wengi Sana ambao walipendana sana na hawakuwahi kudhani k**a wangewai kuachana kirahisi, ✍️
Bahati mbaya sana wahanga wakubwa sana wa umbali kwenye mapenzi ni wanaume kuliko wanawake mwenye ufahamu atafahamu 🙋♂️