04/06/2025
Kumakucha Bolisa... Kweerire wee...
Assalaamu aleykum wanabolisa' wanakondoa, wakazi wooote wa. wilaya Kondoa na Chemba na mkoa wa Dodoma......
Karibuni saaaaana Bolisa Kondoa tarehe 21.6.2025 siku ya Jumamosi kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa sita mchana .... kwenye hauli na dua ya kujiombea na kuwaombea wazee, taifa, viongozi na dunia kwa ujumla.....
Assalaamu aleykum viongozi wa BAKWATA wilaya wakiongozwa na Alhaj sheikh Nchalo na viongozi wa CCM na viongozi wa serikali wilaya wakiongozwa na DC Hajjat Fatma Almasi ......
Assalamu aleykum na tengi sana vijana, wazee, na akinamama wa Mondo, Soya, Makamaka, Dalai, Tandala, Magebuta, Sambwa, Busi, Kinyasi, Ikengwa, Kiteo Mauno, Bumbuta, Kisaki, mpaka Huruvi na Itaswi....
Karibuni sana wooote ndugu zangu wa Goima, Songambele, Jinjo, Churu, Jangalo , Hamai, Itolwa, Mwilanji na Mrijo mpaka njoro...
Karibuni sana Mnenia, Itundwi, Filimo, Cheke, Potea, Bambare, Masange, Kandaga, Itololo mpaka Sauna Kisese na Dachenche na Mitati...
Karibuni sana wenzangu wote wa Kidoka, Kambi ya Nyasa, Chemba, Paranga, Kelema Sori, Kingale, Isini, Serya, Unkuku, Gubali, Choka, Kolo, Kwadino, Isabe, Bukulu. Masawi, Bereko, Salanka, Salare, Kikilo, Ororimo. Thawi, na Sakami....
Karibu wazee wa Baura, Haubi na Mwisanga, Hebi, Ihari, Kwadelo, Mtakuja, Jenjeluse na Mwilanji...
Naaam!!
Sijawasahau wazee wa Mongoroma, Munguri, Bubu Changaa, Chololo, HondoMairo, Kwamafunchi na Mwembeni...
Karibuni sana wanangu wa B***a, Kilimani, Miningani, Kwapakacha, Mpalangwi, Ubembeni, Maji ya Shamba, Soweto, Tura. Nkangi, Itiso, Poisi, Tumbelo, Poisi na Hachwi...
Naaaam! Salamu hizi nakuomba wewe unaesoma zifikishe kwa wengine kupitia mitandao lakini kwa njia yoyote nyingine...
Naluomba Shere kwenye kurasa zako za Fb, Insta. Whats. Nk.
Karibuni maimamu wa misikiti yote wilaya ya Kondoa na Chemba .....
Karibuni masheikh na viongozi wa mikoa na wilaya kote nchini ...
Mimi ni mtayarishaji tu wa jambo lenu nyinyi ..........
Dr. Harith Nkussa
Msemaji Maalum wa M***i
Jumatano 4.6.2025
Bolisa. Kondoa