Amali Ultimate

Amali Ultimate

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Amali Ultimate, Dar es Salaam.

12/01/2019

Karibu uwe Muuzaji au Wakala wa Bidhaa zetu za Mchaichai na ujiongezee kipato.

Pia kwa wale ambao wangependa kuwa Mawakala Wakuu katika Mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Moshi, Mbeya, Iringa, na Arusha karibuni sana. Mawasiliano 0620377795 (Whatsapp/Call)

Photos 23/11/2018

Unaweza ukawa umeamka na uchovu mwingi sana, lakini kwa kunywa kikombe kimoja tu cha aaha kukakufanya uondokane na uchovu wote uliokuwa nao na kuifanya siku yako kuwa njema.

Waweza kutumia wenye ladha ya Limao, Mdalasini, Tangawizi au Komamanga na ukaBurudikaaaaaa.

--------------------------------------------------------------

You might be so exhausted but sipping a cup of Tea can help you perk up your morning/daily routine.

Photos 14/11/2018

Utumiaji wa Chai ya utakusaidia katika umeng’enyaji wa chakula.

Tumia kikombe kimoja cha kila siku kabla hujala chochote ili ikusaidie katika mmeng'enyo wa chakula.

Na sasa kwa kila paketi ya
ukifungua ndani utakutana na kijiko cha chai hii ni kuwarahisishia hata wale wateja wetu wa maofini au sehemu yoyote kuweza kutumia bidhaa zetu kiurahisi zaidi.

MAWAKALA MNAKARIBISHWA KUCHANGAMKIA HII FURSA


Photos 12/11/2018

Lemongrass Tea is the perfect tea to help your body get rid of toxins and excess fats.

Make sure to use our Lemongrass tea every morning to keep your body healthy.

-----------------------------------------------------------

Chai ya Mchaichai ni kinywaji kizuri kitakachokusaidia mwili wako kuondokana na sumu na mafuta ya ziada katika mwili wako.

Hakikisha unatumia Mchaichai Tea yetu kila siku asubuhi ili kuuweka mwili wako safi.

Photos from Amali Ultimate's post 09/11/2018

πŸ“Œ Ya kuwa Wa Bidhaa Zetu

inapenda kutoa Fursa kwa mtu yeyote toka Mkoa wowote kuwa Wakala wa Bidhaa zetu za

Wakala atauziwa kwa Bei ya Jumla na kisha yeye kuuza kwa Bei ya Rejareja na kujiingizia FAIDA au KIPATO cha ziada.

Mfano kwa kununua Bidhaa za Sh. 50,000/= yeye anaweza kwenda kuuza na kujipatia FAIDA ya Sh. 25,000/=

Kuna faida nyingi za kuwa Wakala wa

1. Utapewa maelezo ya kutosha juu ya Bidhaa zetu

2. Utapewa T-shirt ya Uwakala ili kukutambulisha wewe mbele ya wateja utakaokutana nao

3. Utapewa Vipeperushi vyenye maelezo ya Bidhaa zetu

4. Utapata fursa ya kutangazwa kwenye Mitandao yetu ya kijamii ili ufahamike zaidi

5. Kwa wenye maduka/fremu watapatiwa zenye kuonyesha Bidhaa za zinapatikana hapa

6. Kwa watakaokuwa Mawakala Wakuu watapewa fursa ya kufanyiwa Activations ya Bidhaa zetu bure kwa mwezi mmoja.

Unasubiri nini? Wahi uwe Wakala wetu sasa.
Tuwasiliane kupitia #0620377795 (NB: VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA)



@ Dar es Salaam, Tanzania

Photos 08/11/2018

πŸ“Œ from

Shukrani za dhati ziufikie Uongozi mzima wa Gazeti kwa kuweza kutuona na kubaini jitihada zetu zinazoendeshwa na Mwanzilishi wetu kupitia Company kupitia Bidhaa yetu pendwa ya

Tunaendelea kutoa shukrani zetu za dhati kwa wadau wa bidhaa zetu pamoja na Mawakala wetu wote ambao wamekuwa Mabalozi wazuri sio tu kwakuuza hizi Bidhaa na kujiingizia kipato cha ziada lakini pia kwa kuweza kusambaza habari njema juu ya Bidhaa yetu hii ya

Tunawakaribisha wale wote wanaopenda kuwa wetu mikoa yote Tanzania na hata mdau mmoja mmoja ambae anapenda kufurahia Chai bora isiyo na lakini yenye Healthy Benefits za kutosha.

Ni bidhaa halisi ya Kitanzania inayopatikana katika ladha tano tofauti ili kukufanya mteja wetu kuwa na machaguo mengi zaidi huku zikipatikana kwa bei nafuu kabisa.

JIPATIE GAZETI LAKO LA LEO LA MWANANCHI UTUSOME ZAIDI 😍😍

Photos from Amali Ultimate's post 07/11/2018

πŸ“Œ SWIPE LEFT

Enjoy our pure ground from your very own

The product has lots of healthy benefits with no added preservative on it but moreover it is a green tea which is FREE.

is available in FIVE different flavors/tastes to make you enjoy the freshness of this amazing green tea.

_____________________________________________

Furahia bidhaa bora ya Mchaichai Tea (Mchaichai uliosagwa) kutoka

Bidhaa hii ina faida lukuki za kiafya katika wako pasipo kuongezwa preservative ya aina yoyote lakini kubwa utafurahia chai ya kijani isiyo na

unapatikana katika ladha TANO tofauti ili kukufanya wewe mteja wetu ufurahie chai yako.

@ Dar es Salaam, Tanzania

Photos 22/10/2018

Thank you .ea for the recognition and nomination to the Forbes EA Awards.

Dear friends we request you to visit .ea and help us to Like, Comment and share this post so as to increase our chance of winning.

It's all about



.ea ()
・・・
You have been suggested to win award! and we have chosen you to complete in East Africa forbes start up award .ea In order to complete with other we have two sections .. .FIRST SECTION: Invites friends to like, comments, share your post .

SECOND SECTION: write up your idea and briefly Explain how its work / how it will work and send to us before 31/11/2018 via our mail :[email protected]. NB: each stages have its own advantages

16/10/2018



Each year more than 1Million children die due to diarrhea.

This is one of the reasons we as company decided to come up with Liquid Hand wash Soaps so as to put Awareness and Emphasize on parents/guardians/teachers at schools to help protect our children by ensuring them that they do proper handwashing of their hands with soap so as to give our children the future they deserve.

Photos 15/10/2018

πŸ“Œ Super

Tukiwa tunaendelea kuadhimisha "GLOBAL HANDWASHING DAY" tumeamua kutoa punguzo la hadi asilimia 50% kwa Bidhaa zetu zote za FRESHNO HANDWASH SOAPS.

Karibu ujipatie sabuni zako bora toka sabuni pekee zitakazoifanya mikono yako kuwa safi na salama na kujilinda dhidi ya magonjwa mbalimbali.

Photos 15/10/2018

GLOBAL HAND WASHING DAY

Kila siku inatupasa tunawe mikono yetu kwa maji safi na sabuni, lakini tarehe 15 Oktoba kila mwaka ni siku ambayo tunaadhimisha, kuhamasisha zaidi na kuimiza watu wote duniani kuzingatia juu ya umuhimu wa kunawa mikono kwa maji na sabuni.

Sisi k**a tukiwa moja ya wadau wanaozalisha na kuuza Bidhaa za Sabuni za Kunawia mikono ni jukumu letu kutoa Elimu na hamasa zaidi kwa watu tofauti ili kuhakikisha kila mmoja wetu anazingatia unawaji bora kwa kutumia Sabuni ili kujilinda dhidi ya Bakteria na usambazaji wa magonjwa mbalimbali kwa watu wengine.

Ni katika siku hii pia tumeamua kutembelea Shule, Hospitali pamoja na Benki kadhaa ili kutoa Elimu zaidi na hamasa ya watu kujua umuhimu wa kunawa mikono yetu na Sabuni.

Lakini pia ili kufikia lengo la kuisaidia jamii yetu tumeamua wiki hii kuuza Bidhaa zetu kwa Bei ya Punguzo la hadi Asilimia 50 ili wananchi wengi wanufaike na Bidhaa zetu.

Karibuni tuungane pamoja na kuimiza jamii juu ya utumiaji wa Sabuni ili kujilinda na kujikinga na magonjwa mbalimbali.

Photos 10/10/2018

Did you know that washing your hands with liquid hand wash soap is more hygienically than just washing them with water only?




I bet you never knew about that.

Now get your Hand wash soaps from for better cleanse of your hands.

to GLOBAL HANDWASHING DAY on 15th October 2018.

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address

Dar Es Salaam