23/08/2024
“Yanayotokea Ngorongoro tunaomba Serikali irudi katika meza ya mazungumzo. Isiwalazimishe wala kuwakosesha huduma muhimu za jamii au kuzuia chakula kuwafikia. Pia wapewe haki yao ya kupiga kura” Askofu Wolfgang Pisa, Rais Baraza la Maaskofu katoliki Tanzania (TEC)