09/08/2026
Watanzania, kaeni mkao wa kula. Akili Education tunakuja!
Kwa miaka mingi mzazi wa Kitanzania akisikia mtoto anataka kwenda kusoma Malaysia, kitu cha kwanza kinachokuja kichwani ni gharama.
Milioni 30, 40 mpaka zaidi kwa mwaka.
Kwa familia nyingi, hapo ndipo ndoto inaishia.
Lakini sisi Akili Education tumejiuliza swali moja...
Kwanini elimu bora ya Malaysia ibaki kuwa fursa ya watoto wa familia chache zenye uwezo mkubwa pekee?
Ndiyo maana safari imeanza.
Muda huu Balozi wetu Maulid Kitenge yupo njiani kuelekea Malaysia kwa mission moja kubwa:
KUVUNJA BEI. ๐ฅ
Tunakwenda kukutana na vyuo vikuu, kufanya mazungumzo ya moja kwa moja, kutafuta scholarships na kujenga partnerships zitakazowezesha Watanzania kupata elimu bora Malaysia kwa gharama nafuu zaidi.
Na hatutaki kuishia kuangalia brochures.
Tutakwenda vyuoni wenyewe.
Tutaangalia mazingira ya kusomea.
Tutaangalia hostels.
Tutaangalia kozi zao.
Tutazungumza na management.
Na tutawaonyesha Watanzania kila kitu tutakachokikuta huko.
Tunataka Malaysia iwe destination nyingine kubwa kwa wanafunzi wa Akili Education wanaotaka kusoma Artificial Intelligence, Cyber Security, Data Science, Engineering, Business, Health Sciences na kozi nyingine za mwaka wa mbele.
K**a tuliweza kuwafungulia Watanzania milango ya India kwa gharama ambazo zamani zilionekana haziwezekani...
Sasa macho yetu yapo Malaysia. ๐ฒ๐พ
Hatuwezi kuahidi bei kabla mazungumzo hayajakamilika.
Lakini tunaweza kuwaahidi kitu kimoja:
TUNAENDA KUPAMBANA NA BEI.
Siku chache zijazo tutaanza kuwaonyesha vyuo, kozi, mazingira na gharama tutakazofanikiwa kupata.
Kwa hiyo mzazi au mwanafunzi uliyekuwa unatamani Malaysia lakini ukakatishwa tamaa na gharama...
Usiondoke hapa. Kaa mkao wa kula.
Safari ndiyo kwanza imeanza. ๐ฅ
๐ Comment โMALAYSIAโ k**a unataka tukupe taarifa za kwanza kabisa kuhusu vyuo na bei tutakazokuja nazo.
๐ 0793939320
๐ Akili Education, ITV Road โ Jengo la Neolife
๐ฒ๐พ Tukutane Malaysia. Akili Education tunakuja!