jason_derulo_tz

jason_derulo_tz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from jason_derulo_tz, Education, Dar es Salaam.

Dunia ina watu ovyo sana leo kuna mteja nilikuwa nabishana nae oficen wakati mabishabo yanaendelea si kuna mzee kwa mbal...
07/06/2022

Dunia ina watu ovyo sana leo kuna mteja nilikuwa nabishana nae oficen wakati mabishabo yanaendelea si kuna mzee kwa mbali a alikuwa anakuja uku kabeba tv anakuja nayo oficie wkat tunaendelea kubishana yule mzee akawa amefika sisi tukaendelea kubishana tu yule mtu nilie kuwa babishana nae si akalopoka " kuwa mafund wa kweli ni kinyozi tu " mala ghafla yule mzee akabeba tv yake na kuingia chumba chapili ambacho kilikuwa na saluni ya kiume, yule mtu nilie kuwa nabishana nae si akaondoka mimi nikawa namsikilizia yule mzee alie ingua na tv salun atoke nimuudumie, wakat nashangaa shangaa si nikaona mlango umefunguliwa mzee ametoka kanyolewa pala hatari kam kawaida nikaona aji kwangu anapitiliza nayo mpaka kwake, sasa sijui nae kinyoz ali mwambia kuwa sisi mafund waongo sana tv imeisha tu betrii akanunue betri za tiger 🤣😜🤭
👉👕👕🤝🙏

Eeeeh! Bwana nataka nikufungue akili fran sielew sana ila maisha ni kushilikishana baadhi ya mambo kati ya mimi na wewe ...
07/06/2022

Eeeeh! Bwana nataka nikufungue akili fran sielew sana ila maisha ni kushilikishana baadhi ya mambo kati ya mimi na wewe ili mambo yakae sawa sasa iko ivi
Tambua kuwa adui siku zote si wa kumnunia hata kidogo au wa kumuweka mbali na wewe una jua kwann ? 🤭🤭🤔🤔
Ngoja nikuweke sawa kidogo sikuzote mtu ambae mnakwanzana katka maisha au katika kazi au biashala mtakwazana kwa mambo yafuatayo , (1) kakuhalibia kazi (2) kakuvulugia malerengo (3) kunaele ulikuwa unaitegemea so ujaipata sababu yake ( 4) kakudhalilisha kwa watu ( 5) kakusema vibaya kwa watu ( 6) kakudhalau ( 7 ) snich (8) sio mkweli ( 9) ni mvunja ahadi ( 10 ) ajali ahadi
Unajua nini mpaka mtu anatokea kukuangusha kwa kitu fran maana yake ulimwamini na akaweza kukuangusha bila wewe kutalajia sasa bac unapo patwa na hali yoyote katika malaafiki ulio nao usiwe unashtuka kwanxa unapo pata lafiki inatakiwa (1) usiwasogeze kalibu sana katka maisha yako kukujua kiundani kukujua kiundani inaweza kuleta njia kwako wakatumia k**a mlango wa kushambulia udhaifu wakona ivyo unapopata malafiki inatakia umjue kila mtu ambae unakuwa na ulafiki nae na umfahamu wap ana kosea wap anafaulu na katka mambo yako inatakiwa uwapange kinamba kuna malafiki wamichongo tu coz unakuwa umewajaribu katika michongo na ukawaamin kuna malafiki wa stori tu unaweza kuwapa michongo yako wakawa jau haina maana uwa teme moja kwa moja wana nafasi nyingne kwenye maisha yako zaid ya hapo wakikwama leo kesho wata songa mbele, ivyo yan maisha yako yanakuangalia wewe kwamba nini una amua kwa kila jamba ambao unaitaj kufanikia au kuto kufanikiwa, unauwezo mkubwa wa kufanikiwa ndio maana umepewa utashiii au ufahamu wa kujua sura muonekano na mwelekeo🙀🙈🙈🙈.... nipe like za kutosha k**a umenielewa

Kwa wakat mwingne ni nzuri kuwa na maamuz binafs ya kuweza kufanya jambo na kujikosoa mwenyewe kuliko kuongozwa na watu ...
26/05/2022

Kwa wakat mwingne ni nzuri kuwa na maamuz binafs ya kuweza kufanya jambo na kujikosoa mwenyewe kuliko kuongozwa na watu alafu kukosolewa na washauli wako, unaweza kujikuta unafanya jambo bila kujua wapi pa kujisimamia😜🤫🤔 UKUBWA DAWA

TUTAFAKALI KWA PAMOJA  Kuna swali huwa najiuliza saha sipatii majibu labda mwemzangu nisaidie sio kisayanzi kiuelewa wak...
25/05/2022

TUTAFAKALI KWA PAMOJA
Kuna swali huwa najiuliza saha sipatii majibu labda mwemzangu nisaidie sio kisayanzi kiuelewa wako tu, iv umewai jiuliza mwanadamu wa kwanza namna alivyo anza kutembea yaan kujifunza kutembea, unajua kila kitu huwa mwanadamu huwa anaiga so sasa mwanadamu wa kwanza kusimama na kutembea ilikuwaje au alianxaje tusaidiane ?

Ebwana eeh! Ukiingia ndani kwa watu, ukiona mazingila ya aina hii usiangaike kutoa taadhali, mfano umeingia ndani kwa mt...
25/05/2022

Ebwana eeh! Ukiingia ndani kwa watu, ukiona mazingila ya aina hii usiangaike kutoa taadhali,
mfano umeingia ndani kwa mtu au kwa watu mala unakuta hela wanaweka weka ovyo mala simu wanaweka weka ovyo au na vitu muhimu wanaweka ovyo usiangaike kuwa taadhalisha, yaan kuwa ambia waweke vizur vitapotea moja kwa moja ujue nyumba hiyo wanaaminiana so unapo toa taadhali inamaanisha ata kikipotea watajua ni wewe tu umeibwaaaa au umebebaaaa 🤣🤣🤣🤣
Siku zote ukiingia ndani kwa mtu ukiona vitu vinakaa ovyo usiangaike na wewe zoea tu hiyo hali
🇹🇿

24/05/2022

Sifa zingne ni mbaya zinakuhalibia 🤣🤣🤣

Nisaidieni wadau watu weng wananifananisha na jason wanadai nafanana nae, kuna kufanana kwel hapo🤔
23/05/2022

Nisaidieni wadau watu weng wananifananisha na jason wanadai nafanana nae, kuna kufanana kwel hapo🤔

Katika maisha, ukitaka ufanikiwe usimwangalie mtu, sababu ata uyo unae muona kuwa uwenda yupo sahihi yeye ukimfata kumuu...
19/05/2022

Katika maisha, ukitaka ufanikiwe usimwangalie mtu, sababu ata uyo unae muona kuwa uwenda yupo sahihi yeye ukimfata kumuuliza kuusu mafanikio yake au namna alivyo toka kimaisha atakuona kuwa haupo sahihi na ukiamua kufanya jambo lako ukienda kumuomba ushauli atakuambia haupo sahihi katika ulalo lifanya, chamsingi ukitaka kufanikiwa kimaisha fanya ujione sahihi au jione kiwa upo sahii kwa unacho kifanya au unacho taka kukifanya, na tambua hakuna mtu anae weza kukufanya ukawa sahihi zaid ya wewe mwenyewe kuwa na maamuzi sahihi 😜

19/05/2022

Ukisikia pruuuh mpaka maka ndio hii 🤔

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when jason_derulo_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category