28/04/2025
Roho zetu tunazilisha nini?
πΆ Muziki kila mahali.
β½ Kabumbu kila wakati.
π¬ Udaku usio na mwisho.
β‘ Siasa siasa siasa.
Lakini, zipo wapi apps za kujifunza Biblia kwenye simu za vijana na watoto wetu?
Nafsi zao zinahitaji zaidi.
Imani yao inahitaji kulelewa.
Mustakabali wao unategemea hilo.
π Watangulize watoto wako, familia yako, na wewe mwenyewe β kwa App ya Kwanza kabisa ya Maswali ya Biblia kwa Kiswahili na Kiingereza.
β
Inafurahisha, inashirikisha, na inaleta uzima wa kiroho. Inaongeza ujuzi wa kiswahili sanifu na Kiingereza fasaha
β
Ni TZS 5,300 / KES 258 tu kila mwezi. (unsusbscribe any time)
β
Inapatikana sasa β rahisi kufikia.
π Bofya hapa kujisajili leo: https://www.nurukuu.com/bilingual-bible-study-quiz-app/
Chagua Biblia. Chagua Uzima.
Bilingual Bible Study Quiz App β Bible Study App
Join hundreds of others growing their knowledge and faith every day. Subscribe now for full access to the Bible Study App quizzes in English and Swahili!
26/04/2025
Tunakusanya maoni kuhusu desturi na maisha ya mtanzania, tusaidie kwa kujaza hii fomu ya maswali machache, asante sana https://forms.gle/FsBe24dHLjVjYw897
19/04/2025
Tafadhali jaza hii fomu hii https://forms.gle/FsBe24dHLjVjYw897 kujibu maswali kuhusu athari za tamaduni za nchi za Magharibi kwa tamaduni na desturi za Tanzania. Asante sana
Dodoso-Desturi na tamaduni za kitanzania
16/04/2025
π’ Habari Njema! π Shinda upate zawadi Tsh 20000 au Ksh 1030
App yetu ya Maswali ya Biblia kwa Kiswahili na Kiingereza sasa inapatikana kwa majaribio ya awali bila malipo kwenye iPhone kupitia TestFlight! π https://apps.apple.com/app/testflight/id899247664
Watu 10 wa kwanza kujaribu app yetu kupitia TestFlight app na kujaza fomu hapa https://forms.gle/mNKSvLbjD6swpJQ89 (Kiswahili) watapata zawadi ya Tsh 20,000 au KSh 1030. Fomu inapatikana kwa kiingereza (English) hapa https://forms.gle/dspPsNF7MQs4w4xy7 . Jaza fomu moja tu Kiswahili au kiingereza.
Ili kujaribu App yetu ya Maswali ya Biblia, tafadhali fuata hatua hizi fupi:
Pakua App ya TestFlight kutoka App Store:
π https://apps.apple.com/app/testflight/id899247664
Fungua App ya TestFlight kwenye simu yako
Bonyeza link hii ya majaribio (TestFlight):
π https://testflight.apple.com/join/8jmmFKhF
Ukishajaribisha app yetu, jaza hii fomu: https://forms.gle/mNKSvLbjD6swpJQ89 ili kutoa maoni yako.
Tafadhali tujulishe kupitia ibox hapa Facebook au WhatsApp simu number +61416460723 k**a utahitaji msaada.Tunathamini sana maoni yako!
Join the English/Swahili Bible Study beta
Available on iOS
16/04/2025
https://www.facebook.com/share/p/18L7Njq48E/
Shinda upate zawadi ya Tsh 20000, au Ksh 1030. Maelezo yapo hapo chini kwenye post πππ
π’ Habari Njema! π
App yetu ya Maswali ya Biblia kwa Kiswahili na Kiingereza sasa inapatikana kwa majaribio ya awali bila malipo kwenye iPhone kupitia TestFlight! π https://apps.apple.com/app/testflight/id899247664
πβ¨ Jipime maarifa yako ya Biblia kupitia maswali ya kuchagua jibu sahihi βapp inawafaa watoto, vijana na watu wazima!
π‘ Kuwa miongoni mwa watumiaji wa kwanza kujaribu na kutoa maoni yako kabla ya uzinduzi rasmi.
Watu 10 wa kwanza kujaribu app yetu kupitia TestFlight app na kujaza fomu hapa https://forms.gle/mNKSvLbjD6swpJQ89 (Kiswahili) watapata zawadi ya Tsh 20,000 au KSh 1030. Fomu inapatikana kwa kiingereza (English) hapa https://forms.gle/dspPsNF7MQs4w4xy7 . Jaza fomu moja tu Kiswahili au kiingereza.
Ili kujaribu App yetu ya Maswali ya Biblia, tafadhali fuata hatua hizi fupi:
Pakua App ya TestFlight kutoka App Store:
π https://apps.apple.com/app/testflight/id899247664
Fungua App ya TestFlight kwenye simu yako
Bonyeza link hii ya majaribio (TestFlight):
π https://testflight.apple.com/join/8jmmFKhF
Bonyeza βAcceptβ ili kujiunga na majaribio ya app
Kisha bonyeza βInstallβ ili kuinstall app kwenye simu yako
Bonyesa Sign up ili kuingia kwenye app na kuijaribisha.
Ukishajaribisha app yetu, jaza hii fomu: https://forms.gle/mNKSvLbjD6swpJQ89 ili kutoa maoni yako, weka namba yako ya simu kwenye fomu ili tuweze kukutumia zawadi yako iwapo utaibuka mshindi.
π Tafadhali tujulishe kupitia ibox hapa Facebook au WhatsApp simu number +61416460723 k**a utahitaji msaada au ukikumbana na changamoto kwenye kuipata app kwa ajili ya majaribio. Tunathamini sana maoni yako!
01/02/2025
Social business nyanda za juu kusini. Tumekutana na kina mama na vijana wa kata za Kirando na Kabwe. Wilaya ya Nkasi.
04/10/2022
Tumeanza kutoa ruzuku kwa vikundi vya Champion Mothers and Fathers vya shirika la SoTheyCan. Hawa ni kina baba na kina mama wanaojitolea kuelimisha jamii kuhusu masuala ya haki za binadamu, usalama wa watoto na umuhimu wa elimu kwa watoto.
Ruzuku hizi zina lengo la kuwasaidia Champion Mothers and Fathers kuendesha biashara ndogondogo zitazowasaidia kujikimu wao na familia zao.
Pichani ni Delphina, Mkuu wa kitengo cha elimu, akiwa na baadhi ya wazazi wanufaika.
22/09/2022
Wivu Bustani ya Edeni ni riwaya ya Kiswahili iliyoandikwa na Dotto Rangimoto. Dotto ni mshindi wa tuzo ya kimataifa ya Safal-Cornell Kiswahili Prize for African Literature mwaka 2017. Bei ni Tsh 20,000 tu. Usikose riwaya hii ya kusisimua. Jipatie nakala yako
Riwaya inapatikana:
DAR: TPH Bookshop
ZANZIBAR: Alif Bookshop Mkunazini
ARUSHA: Nje ya Kimahama Bookshop
MORO: Kihonda Bima
Kwa mawasilano zaidi 0762845394
01/09/2021
Tunashirikiana na taasisi zilizosajiliwa Tanzania kwa kuchangia kuwawezesha watoto, vijana na jamii kwa ujumla kupata elimu, na kuendeleza biashara ndogo ndogo.
Sasa tunashirikiana na Taasisi ya So they can
So They Can | Empowering African Communities Through Education
So They Can is an international not for profit organisation and a registered Charity in Australia, New Zealand, United States, Kenya and Tanzania, empowering children living in poverty in East Africa through education. Because every child matters.www.sotheycan.org
01/09/2021
SoTheyCan champion fathers and mothers in Babati Tanzania, community fathers and mothers who volunteer to take care of the community