National Quality Association of Tanzania - NQAT

National Quality Association of Tanzania - NQAT

Share

The National Quality Association of Tanzania (NQAT) is a member-based association, which acts as a N

17/08/2024

Wananchi mbali mbali watoa maono yao juu ya misingi ya ubora, na huwa wanazingatia nini katika kutathmini Ubora wa bidhaa.


17/08/2024

Burudani mbalimbali zinaendelea hapa Mbagala Zakhiem muda huu, katika


17/08/2024

Dkt. Esther Nkuba akitoa Elimu juu ya usafi unaopaswa kuzingatiwa na wafanya biashara ya Chakula katika linaloendelea katika Viwanja vya Mbagala Zakhiem Muda huu!

17/08/2024

Wauza maji wanaozingatia misingi ya Usafi na usalama wana pokea zawadi mbali mbali katika muda huu hapa katika viwanja vya Mbagala Zakhiem. Karibuni sana!


17/08/2024

“Jukumu la malezi ya mtoto wa kitanzania ni jukumu la jamii nzima, tunapaswa kuhakikisha wanapata chakula safi na salama.” - Aeleza Ndg Safari Fungo, Mlezi wa Taasisi ya Ubora Tanzania (NQAT)

17/08/2024

Wauza maji wakionesha ujuzi wao juu ya suala la kuuza maji safi na salama, na namna wanavohakikisha wanauza maji yenye kuzingatia vigezo vya ubora na usalama wa chakula.


17/08/2024

Karibu kwenye Tamasha la ! Tunafurahia kuwa
na wee hapa Mbagala Zakhem tunapoongeza uelewa kuhusu
umuhim wa chakula salama na bora. Tuungane pamoja kuhakikisha kila mtu anapata chakula kinachoaminika. Endelea kufuatilia kwa karibu!

17/06/2024

𝐄𝐢𝐝 𝐚𝐥-𝐀𝐝𝐡𝐚 𝐖𝐢𝐬𝐡𝐞𝐬 𝟐𝟎𝟐𝟒/𝟏𝟒𝟒𝟓 𝐀𝐇

𝘞𝑎𝘳𝑚 𝑤𝘪𝑠𝘩𝑒𝘴 𝘧𝑟𝘰𝑚 𝑡𝘩𝑒 𝑁𝘢𝑡𝘪𝑜𝘯𝑎𝘭 𝘘𝑢𝘢𝑙𝘪𝑡𝘺 𝘈𝑠𝘴𝑜𝘤𝑖𝘢𝑡𝘪𝑜𝘯 𝘰𝑓 𝑇𝘢𝑛𝘻𝑎𝘯𝑖𝘢 (𝑁𝘘𝐴𝘛)

Dear Members and Stakeholders,

As we come together to celebrate Eid al-Adha, we extend our warmest wishes to you and your families. This blessed occasion reminds us of the values of sacrifice, compassion, and unity. It is a time to reflect on our shared commitment to excellence and the continuous improvement of quality in all aspects of our work and lives.

At the National Quality Association of Tanzania (NQAT), we are deeply grateful for your unwavering support and dedication. Your contributions have been instrumental in our collective journey towards achieving higher standards and fostering quality culture in our country.

May this Eid bring you joy, prosperity, and renewed strength to pursue your aspirations. Let us continue to work together to uphold the principles of quality and to make a positive impact in our communities and beyond.

Eid Mubarak!

Warm regards,

Secretariat
National Quality Association of Tanzania (NQAT)

11/05/2024

Call for Professional Members with LEATHER Expertise

Background

The National Quality Association of Tanzania, (NQAT) has secured funds to support quality improvement of SMEs in the leather sector in our country. Following that development, we wish to invite quality experts with backgrounds in the leather sector from both the public and private sectors to join our pool of Quality Champions as we seek to enhance quality in the leather sector!

Objective

Among the experts who will be willing to join our association, one will be identified as a lead expert and will be sent overseas in the coming days for the purpose of BUILDING his/her CAPACITY ON QUALITY MANAGEMENT SYSTEMS (QMS) SELF ASSESSMENT TOOL FOR SMALL AND MEDIUM ENTERPRISES IN THE LEATHER VALUE CHAIN. Others will undergo a series of virtual training to prepare them for further engagement ahead.

Expression of Interest

Should you have the required expertise and competence in the leather sector with reasonable knowledge of quality management and you are willing to contribute to our mission as highlighted on our website, please send your application letter and updated resume via [email protected].

Deadline: Wendseday 15th May 2024, at 12:00 pm.

Don't forget to register as a member through this link: https://tqa.or.tz/membership/individual-membership-registration/

NOTE: Only those who will register for membership are the ones who will be considered for the next steps.

Join us and be part of something meaningful!

06/05/2024

Did you fail to submit your EoI on time or maybe heard about it a little too late?
We are happy to announce the deadline extension of this EoI to May 14th, 2024.

Kindly share this with your friends and family so that they tap into this opportunity.

26/04/2024

Tunawatakia maadhimisho mema ya sherehe za Muungano 2024.

22/04/2024

Are you a passionate advocate for food safety and quality with a Bachelor's Degree or higher in a related field with a drive to make a difference?
We're looking for YOU.

Apply now and be a part of our mission to elevate standards in the industry.

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address

MBAGALA MCHIKICHINI
Dar Es Salaam