30/08/2021
KUVURUGIKA KWA HOMONI KWA WANAWAKE (KUTOPATA UJAUZITO NA MVURUGIKO WA HOMONI )
Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke, hivyo kufanya mwili kubadilika.
Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%.
Asilimia kubwa ya wanawake mabadiliko huanza kati ya miaka 40 na 50, lakini kwa sasa kukosekana kwa usawa wa homoni huweza kuonekana mapema zaidi, kuanzia miaka 14. Mabadiliko haya asilia hutokea wakati wa balehe(kuvunja ungo), hedhi, ujauzito, kabla na baada ya ukomo wa hedhi.
Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni zifuatazo Estrogen, Progesterone na Testosterone. Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.
II. VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI
Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, hii ni kutokana:
-Mifumo ya maisha wanayoishi,
-Elimu finyu waliyonayo juu ya afya zao na kutokula kulinganana makundi ya damu.
Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni ni k**a vile,
a) Uwepo wa sumu mwilini
b) Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha)
c) Umri
d) Kukoma kwa hedhi
e) Kutofanya mazoezi
f) Uzito mkubwa
g) Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
h) Msongo wa mawazo
i) Kula vyakula visivyo endana na Blood Group
j) Upungufu wa lishe mwilini
k) Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
l) Utoaji wa mimba
m) Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
n) Ongezeko ya homoni ya testosterone (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
NB (Ethnicity): Wanawake wa Afrika wengi wana hili tatizo la ongezeko ya Homoni ya Estrogen, ndiyo maana wana maumbile makubwa
III. DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI
Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
1- Ukavu ukeni
2- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
3- Kutoa jasho usiku
4- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
5- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
6- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
7- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
8- Uchovu wa mara kwa mara
9- Hasira za mara kwa mara
10- Kukosa usingizi
jinsi usingizi unavyoathiri mzunguko wa homon
11- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
12- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
13- Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
14- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele)
15- Maumivu ya viungo
16- Upungufu wa nywele kichwani.
17- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
18- Kuwa na hamu ya kula vyakula au vinywaji vya wa ndani.
19- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
20- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
21- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
22- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
23- Kusinyaa na kupauka kwangozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
24- Maumivu ya kichwa mara kwa mara
25- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
26- Kutokupata choo kwa wakati
27- Misuli hudondoka
IV. MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI
Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia hizo husababisha saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua, huathiri mtoto atakayezaliwa, huathiri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria), --
-kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.
-Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi ---kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:
-Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
-Mimba kuharibika mara kwa mara
-Kukosa mtoto au Ugumba
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa kiume
-UTI (Urinary Tract Infection)
-Kuzeeka mapema
-Kuziba kwa mirija ya uzazi
-Uvimbe (Fibroids and Cysts)
V. SULUHISHO
b. SURUHISHO LINALOPENDWA JAPO SIYO SALAMA
Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa hutumia madawa (bioidentical or synthetic hormones) na wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida. Lakini hupelekea madhara k**a:
- Kuongeza uwezekano ya shinikizo la damu.
- Osteoporosis.
- Madhara katika mfumo wa uzazi.
- Saratani na mengineyo.
b SURUHISHO LA KUDUMU KUTOKA EDMARK PRODUCTS.
Spina chlorophyll liquids
Shake off
Bidhaa hizi ni maalumu kwa mambo yafuatayo
-kuondoa uchafu na Pumu katika mji wa mimba, mapafu, kibofu, mishipa ya damu, kongosho, INI na sehemu nyingi mwilini
-kupunguza uzito
-kurekebisha kiwango cha seli mwilini
-njia mzuri ya kuondoa mafuta na maumivu ya tumbo
Red bubble tea
Cafe Troika
Bidhaa hizi ni maalum kwa..
-kuhusika na kiini cha tatizo na kutibu kabisa
- kufufua seli zilizozorota au kuzeeka
- kuupa mwili nguvu na kukuondolea uchovu
- kusawazisha kiwango cha sukari mwilini
-kusaidia kongosho kufanya kazi vizuri
-kusaisia katika kuzalisha insulin mwilini
BIDHAA ZA EDMARK.bidhaa hizi ni bora na zina gerentee katika kutibu kwa mteja kurudishiwa gharama zake k**a akitumia dozi na hakupata matokeo atarudishiwa gharama zake zote..