15/12/2019
Tunawatakia watanzania wote kila la heri wakati huu mgumu wa Covid-19,tuendelee kuufuata utaratibu ulioekwa na serikali.Hali nzuri ikirudi tutaendelea kutoa masomo ya sekondari(stage 1na 2) na ya kurudia mitihani wa kidato cha nne(PC).Tunashirikia na na Golden Spring College and Open School Gallapo Himo Moshi wanaotoa
kozi ya ualimu shule za awali mchepuo wa kiingereza na pia masomo ya sekondari(stage 1,2 na 3) na ya kurudia mitihani vidato vya 4 & 6.wasiliana nasi kupitia 0744929394,0786283799