05/09/2022
: Waziri wa Mambo ya Nje, Ali Sabry amesema Muswada wa marekebisho ya unaopunguza Mamlaka ya Rais unatarajiwa kuwa Sheria katika wiki chache zijazo
Muswada huo unatajwa kurejesha Utawala shirikishi Nchini humo
Soma https://jamii.app/KatibaSriLanka