Luchunga education centre

Luchunga education centre Tunashughulika na kufundisha masomo mbalimbali ya shule za msingi,sekondari na chuo Nchini Tanzania

05/09/2022

: Waziri wa Mambo ya Nje, Ali Sabry amesema Muswada wa marekebisho ya unaopunguza Mamlaka ya Rais unatarajiwa kuwa Sheria katika wiki chache zijazo

Muswada huo unatajwa kurejesha Utawala shirikishi Nchini humo

Soma https://jamii.app/KatibaSriLanka

05/09/2022

TANGA: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe Vijijini, Khalfani Magani ametakiwa kujieleza kwa madai ya kuficha fedha za ufadhili wa ujenzi wa Sekondari ya Mgwashi

> Anadaiwa kutotoa taarifa ya kupatikana ufadhili wa Tsh. Milioni 100

Soma https://jamii.app/DEDKorogwe

05/09/2022

Kituo cha Sheria na Haki za Binaadamu (LHRC), kimefungua shauri la kupinga tozo za miamala ya kielektroniki, Mahak**a Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dar es Salaam dhidi ya Waziri wa Fedha na...

05/09/2022

Globally, nearly 1 in 6 deaths are due to cancer. The good news is that 40% of them are preventable.

From making healthy lifestyle choices to getting regular screenings, World Health Organization (WHO) has prevention tips and more facts about cancer. https://www.who.int/news-room/fact-sheets/detail/cancer

05/09/2022

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewataarifu Wateja wake wa malipo ya awali (LUKU) kuwa kutakuwa na matengenezo kinga kwenye kanzi data ya mfumo wa manunuzi ya umeme (LUKU) kwa siku nne kuanzia Jumatatu September 12 hadi September 15,2022.

Wateja wataweza kununua umeme wakati wote isipokuwa wakati wa matengenezo kwa vipindi vifupi nyakati za usiku k**a inavyoonekana kwenye jedwali (ukiswipe).

“Shirika linawashauri Wateja kununua umeme wa ziada au kufanya manunuzi ya umeme nje ya muda uliotajwa ili kuepuka usumbufu” ——— imeeleza taarifa ya TANESCO.

05/09/2022

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho hakitashiriki Uchaguzi wa kuwapata Wabunge watakaoiwakilisha Tanzania ktk Bunge la Jumuiya ya Afrika ya Mashiriki

> Hii ni kutokana na chama hicho kutoutambua Uchaguzi Mkuu wa 2020

Soma - https://jamii.app/CDMEala

05/09/2022
05/09/2022

The are our blueprint to achieve a better and more sustainable world.

From taking to ending poverty and hunger, the world's "to-do list" can transform our future. https://www.un.org/sustainabledevelopment/

05/09/2022

: Graham Brady, Mwenyekiti wa Kamati ya 1922 ya kundi la Wabunge wa Conservative amemtangaza kuwa Waziri Mkuu mpya baada ya kupata Kura zaidi ya 80,000

> Truss anachukua nafasi ya aliyejiuzulu

Soma - https://jamii.app/TrussPM

05/09/2022
05/09/2022

Sexual health requires a positive & respectful approach to sexuality & sexual relationships and is fundamental to the overall health & well-being of individuals, couples & families.

Sunday is World Sexual Health Day.

Address

Hagafilo
Arusha
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255738705288

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Luchunga education centre posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Luchunga education centre:

Shortcuts

Share

Category