20/10/2025
Your determination and handwork has made off ,congratulations
Tammy Agape Learning Centre is a community-based school located in the Mukuru slums of Nairobi, Kenya.
It is run under Agape Fellowship Ministry, a non-profit organization committed to improving the lives of people in the community.
20/10/2025
Your determination and handwork has made off ,congratulations
20/06/2025
It was awesome with TL AFRICA team
24/02/2025
Celebrating my 9th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉
Happy new year
28/02/2024
It was a great day to Tammy Agape,we thank A few giraffe center for giving our children from slums a chance to visit giraffe center and other places.
24/11/2023
Congratulations our 2023 candidates you made us proud
class 8--4-4 system
# Prayer works
24/07/2023
Mungai 's family thanks for visiting us in slums we were grateful even sharing lunch with us.
“Education is the passport to the future, for tomorrow belongs to those who prepare for it today.
07/07/2023
Giving back to community
HADITHI IMEANDIKWA NA
TOPISTA ATIENO
DARASA LA NANE.
KUPAMBANA NA MWIZI
Nilipokuwa nimelala niliskia nyayo za mtu akitembea taratibu akikaribia nyumba yetu. Niliingiwa na uoga k**a kunguru na kujifunika blanketi gubigubi. Moyo wangu ulikuwa unadunda mithili ya dramu ya Afrika mashariki. Nilitamani sasa kukuche, lakini wapi? Usiku huo ulikuwa mrefu na mweusi mithili ya makaa.
Mwizi ambaye alikuwa anatembea kando ya nyumba yetu, alikuwa unju hata angeweza kupita kwa mlango akiwa amesimama. Niliamka taratibu kuenda chumba cha wavyele wangu, kumuita baba. Nilikuwa na uhakika k**a mauti kuwa baba na mama hawajui nini kinachoendelea.
Nilipokuwa nikikaribia chumba cha wavyele wangu, nyaya za umeme zilikatwa. Kukawa na giza totoro hadi huwezi kuona kitu chochote. Hapo ndipo niliamua kupiga unyende kuwashtua wavyele wangu. Walitoka inje ya chumba chao wakiwa na hofu telee kunihusu.
Baada ya dakika chache, wavyele wangu kutoka chumbani mwao umeme ulirudi mwaa bila ya kutarajiwa. Niliwaelezea kinaga ubaga nilichosikia wakati nilikuwa nimelala. Baba akaenda chumbani na kuchukua fimbo ya kuenda kupambana na mwizi. Alipiga milundi na kuelekea inje. Pia yeye alikuwa muoga lakini jukumu lake ni kulinda familia yake.
Alikumbuka wasemalo wahenga, usipo ziba ufa utajenga ukuta. Kabla ya jambazi kuingia kwa nyumba yetu, baba alitoka inje kwa ujasiri sana. Ni nani yuko hapa? Na nini unataka nyumbani kwangu? Hakuna aliyejibu. Jambazi tayari ameshaingia kwa nyumba. Alipitia kwa mlango wa nyuma na kupenya ndani.
Wakati sisi tulikuwa inje, tukiduwa na kubung’aa k**a waliyeona mabaki ya adamu na hawa. Mwizi alikuwa ameshachukua chukuwa vitu vya thamani peke yake, akaacha zile ambazo hakuwa anahitaji. Alitungoja kwa hamu na gamu tuingie ndani ya nyumba, iliatoke aende.
Kwa bahati mbaya alikuwa amekanyaga matope na akaingia akiwa amevaa viatu, tulifuata nyayo zake na kutambua alitotoka. Lo! Kumbe ni jirani yetu Hasana, anatutendea kitendo hiki. “hatajua mimi ni nani?” baba alisema kwa mori.
Baba alipotia nanga kwake na kubisha mlango. Hata hakumkaribisha, alianza kutingika miguu. Alijua kuwa chuma chake kimotoni. Alikuwa akiongea akisita sita k**a aliyetoka kushtaki uchafu na maji baridi, mithili ya barafu.
Hassan alithani kesi hii haimuhusu sikio wala dewe, lakini alikuwa mmoja wa washukiwa. Baba alipoingia ndani ya nyumba yake alipata vitu vingi. Alitaka kukimbia mtego wa panya lakini alinaswa. Yamkini mbio za sakafuni huishia ukingoni.
HADITHI IMEANDIKWA NA
TOPISTA ATIENO
DARASA LA NANE.
Dear Parents and Pupils of Tammy Agape learning center, this holiday break is an opportunity for our pupils to rest and recharge before we resume our regular schedule.
During this break, I encourage our pupils to take time to relax, spend quality time with their families, and engage in activities that bring them joy. Whether it's reading a book, watching a movie, or playing outdoors, let us make the most of this break to refresh our minds and bodies.
To our parents, I appreciate your continued support of our learning center, and I hope this break provides you with an opportunity to spend quality time with your children. We will resume our regular schedule soon, and we look forward to continuing to provide our pupils with the best possible education.
Thank you for your understanding, and have a wonderful break.
Sincerely,
Teacher Mary Thiong'o