Hon Nyironge Victor EGH

Hon Nyironge Victor EGH

Share

AYANA CITIZEN TV UPDATE πŸ“Ί

29/05/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ—π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Nura akienda sokoni,Mathew alimfuata akamuuliza k**a wataandamana? Nura akamwambia ndio ila watu wataongea wakituona. Mathew akamwambia wee achana na watu bna,ju hata wakisema watadu? Nura akamwambia wewe Mathew najua unaniambia tu nijihizi vizuri ila unajua mimi na wewe hatuendani mimi si type yako. Mathew akamwambia come,wewe ni kadem kapoa,kasupu,kakind so uko tu sawa usijali.

Tyrone ashapigia bank akawaambia kuna pesa yafaa achukue so he had to convince bank ndio watoe. Asha alikua hapo akamuuliza dad,pesa si ni zako mbona lazima uwaambia? Tyrone akamwamboa listen my daughter kazi sisi watu wa pesa huwa hivyo,so lazima tupeane sababu kwanza.

Punde si punde, Stano akamcall Tyrone,akamwambia mzae,ni ulete pesa na ukuje peke yako or else mambo yatakua mbaya. Saida alisikia,Sabina alikua hapo akasimia na Sabina akaambia Tyrone please,enda peke yako ju ukienda na mtu maisha ya Tinah yatakua in danger,please enda tu peke yako.

Stano na yeye ako na kibarua,atoke na Tinah kwa nyumba,aende na yeye hadi penye yafaa wakutane na akaambia Tinah sikiza,ni ucoperate or else utaona cha mtema kuni.

Tyrone akitaka kuondoka, Ray alifika. Saida akasema ju Ray amefika,acha aende na Ray. Ray akawauliza mnaongelea nini? Asha akasema wanaenda kupeleka pesa Tinah aachiliwe. Ray akaanza kucheka,akawaambia sikiza, Tinah hajakua kidnapped,ni script imechorwa tu hapa. Tyrone akamuuliza unamaanisha nini? Ray akawaambia sikiza,Tinah hajakua kidnapped,ni pesa za babake tu anangoja aendelee na sherehe. Sabina akaamka na hasira sana akamwambia wewe unajua uache ujinga? Ray akamwambia nyamaz,anaez ahata wapeleka penye Tinah ako.

Brayson aliamua kufunguka,akaambia Tyrone,sijasema ati Tinah anakutoka pesa,yeye hayuko hivyo,but kuna mtu anampush.Kisha Brayson akaangalia Sabina na kila mtu akaangalia Sabina hadi Sabina akawaambia wee mbona mnaniangalia mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Brayson alikua very cleat,akawaambia sikiza,Tinah hajakua

28/05/2026

π€π˜π€ππ€ π…π‘πˆ πŸπŸ—π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏

NURAH'S MISSION INAWEZA...
Mathew amemfwata Nurah alienda Sokoni, akamuuliza k**a anaezampeleka. Nurah akakubali but akamsho, watu wakiwaona pamoja, wataongea. Mathew akasema, na si waongee, sisi ni watu wazima bwana 😁. Hata vile Asha alitupata morning, acha afikirie zake, if there's anything going on between us, sisi si watoi πŸ˜…

Nurah akamsho, acha kuongea tu kunifurahisha, najua mm na ww hatuendani hataa. Mathew akamwambia, wewee, usiwaisema hivo, ww ni Dem mrembo, msupuu, m-kind, na kila mwanaume anaezataka kuwa na Dem k**a ww. Nurah ako hapo anasmile tu k**a Yesu πŸ€ͺπŸ˜πŸ˜…

Tyrone ashapigia bank akawaambia kuna pesa yafaa achukue so he had to convince bank ndio watoe. Asha alikua hapo akamuuliza dad,pesa si ni zako mbona lazima uwaambia? Tyrone akamwamboa listen my daughter sisi watu wa pesa huwa hivyo,so lazima tupeane sababu kwanza.

Punde si punde, Stano akamcall Tyrone,akamwambia mzae,ni ulete pesa na ukuje peke yako or else mambo yatakua mbaya. Saida alisikia, Sabina alikua hapo akasimama na Sabina akaambia Tyrone please,enda peke yako ju ukienda na mtu maisha ya Tinah yatakua in danger, please enda tu peke yako.

Stano na yeye ako na kibarua,atoke na Tinah kwa nyumba,aende na yeye hadi penye yafaa wakutane na akaambia Tinah sikiza,ni ucoperate or else utaona cha mtema kuni.

Tyrone akitaka kuondoka, Ray alifika. Saida akasema ju Ray amefika,acha aende na Ray. Ray akawauliza mnaongelea nini? Asha akasema wanaenda kupeleka pesa Tinah aachiliwe. Ray akaanza kucheka, akawaambia sikiza, Tinah hajakua kidnapped, ni script imechorwa tu hapa. Tyrone akamuuliza unamaanisha nini? Ray akawaambia sikiza,Tinah hajakua kidnapped, ni pesa za babake tu anangoja aendelee na sherehe. Sabina akaamka na hasira sana akamwambia wewe unajua uache ujinga? Ray akamwambia nyamaza naeza hata wapeleka penye Tinah ako.

Brayson aliamua kufunguka,akaambia Tyrone,sijasema ati Tinah anakutoka pesa, yey

28/05/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ–π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Mathew alikuja akauliza Asha,huyu Brayson wako rada yake ni gani? Asha akamuuliza amefanya nini? Mathew akamuuliza mbona atuambie Tinah ako sherehe na tena tunapigiwa simu Tinah ako na kidnappers? Asha akamwambia pia ako confused...Mathew akamuuliza,uko sure hakuna kitu unanificha,and what if Brayson ako behind this? Asha akamwambia then nitahakikisha anaozea jela.

Tyrone na yeye alikuja akaambia Sabina sikiza,naelewa situation yako but I cant afford kupoteza pesa zingine na ndio maana inabidi tutumie polisi. Sabina akamwambia k**a ni hiyo then acha mwenyewe nijue venye nafanya. Tyrone akamwambia its ok, I will what to do na kesho lets get Tinah back. Sisi tunajua Sabina anataka watumie pesa ju hizo pesa ndio anazitaka lakini mchawi kitu hajui ni, hizo hizo hizo pesa ndio Brayson anazitaka 🀣🀣🀣

Sabina after kuona Tyrone amekubali,akamcall Stano,akamwambia sikiza,Tyrone ako game,kesho pesa zinakuja and make no mistakes na nataka pesa zangu in full. Pesa gani na hizo pesa Stano yafaa ampee Brayson na nilishawaambia,the reason Ray anazichukua zile pesa kutumia Stano ni ju Stano alimgonga ile siku na akakidnap Tinah.

Nura alikuja kwa Saida na umbea akamwambia guess what,leo Mathew amejiteleza ju alisema Sabina ako na everything under control shida tu hakusema ni nini hicho but Saida ashajua there is something going on.

Nura akienda kulala aliamua kuchungulia kuona Mathew ako hali gani kwa room ya Tinah. Alimpata mwanaume ametulia hapo akaingia kumjulia hali. Kumbe Asha alimuona Nura akiingia hapo penye Mathew ako 🀣🀣🀣na Asha amekua akimshuku sana Nura.

Mathew aliambia Nura hafeel kulala hapa ju kwa room ya Tinah inamkumbusha everything. Nura akamwambia usiwe na wasiwasi,naeza lala hapa kisha wewe uende ulale kwa room yangu bora tu Kylian asijue. Mathew alisema hiyo ni afadhali. Hii yote Nura anataka ukaribu na Mathew si ati anamtaka,anataka information🀣🀣🀣

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Siku il

28/05/2026

Wish mama Asher HAPPY BIRTHDAY πŸŽ‚

28/05/2026

Ebola patients have arrived and they are being welcomed joyfully, Kenyans and the government are happy

28/05/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ—π“π‡ πŒπ€π˜ ππ‘π„πƒπˆπ‚π“πˆπŽπ

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏

Kumbe ile mlango Stano aliacha wazi ndio ilikua beginning ya disaster 😳πŸ”₯
Kefa aliingia polepole ndani ya nyumba akasikia Tinah akiomba msaada.

Tinah alipomuona Kefa alishtuka kwanza akaogopa πŸ˜­πŸ˜‚
Kefa akamwambia, β€œRelax,sijakuja kukudhuru.”

Tinah akaanza kulia akisema, β€œPlease nitoe hapa…”

Kefa akamfungua haraka haraka lakini kabla watoke…
Stano akarudi 😳πŸ”₯πŸ”₯

Stano alishtuka akamuuliza Kefa, β€œWewe umefika aje hapa?!”
Kefa akamwambia, β€œMchezo yenu imeisha.”

Wawili wakaanza kupigana ile deadly 🀣🀣
Tinah akaanza kupiga kelele huku nje watu wakianza kukusanyika.

Meanwhile Ray alikuwa anangoja simu ya Stano apewe update ya pesa lakini simu haipatikani. Ray akaanza kushuku kuna kitu imeharibika 😳

Sabina naye alikuwa restless mansion mzima akitembea tu k**a mtu ameona ghost πŸ˜‚πŸ”₯

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐

Kwa mansion mambo nayo ilikuwa moto πŸ˜­πŸ˜‚
Asha bado hashiki story ya Nura na Mathew.

Mathew alijaribu kujitetea akisema, β€œHakuna kitu ilifanyika…”
Lakini Asha akamwambia, β€œMimi si mjinga!” 🀣🀣

Kumbe Nura naye ameanza kuzoea Mathew sana mpaka Saida akaanza kuona mchezo inaenda mbali kuliko venye waliplan πŸ˜³πŸ˜‚

Meanwhile huko kwa hideout, Kefa alimshinda Stano proper 🀣πŸ”₯
Kabla Stano ainuke vizuri,Kefa na Tinah wakatoroka mbiooo!

Tinah akiwa kwa gari bado alikuwa confused akamuuliza Kefa,
β€œMbona unanihelp after vile everyone anakuona mbaya?”

Kefa akamwambia,
β€œSio kila mtu mbaya hukua monster.” 😳πŸ”₯

Lakini shock kubwa ilikuwa…
Kefa hakumpeleka Tinah kwa mansion 😭πŸ”₯πŸ”₯

Alipeleka Tinah kwa place fulani secret akamwambia,
β€œHaujui watu wenye walikukidnap bado wako karibu sana na familia yako.” 😳⚑

Meanwhile Stano akiwa ameumia vibaya alimcall Sabina akamwambia,
β€œBossy…mambo imeharibika…Tinah ametoroka…” 😭πŸ”₯

Sabina alishtuka hadi simu ikamwanguka πŸ˜³πŸ˜‚

Usiende bila kuguza hili jina πŸ‘‰ Evans J Muthomi πŸ‘ˆ likifunguka guza follow usikose part next
❀️
😳
🀣
#

28/05/2026

Ready for Friday's episode, gonga like tukisonga

Photos from Hon Nyironge Victor EGH's post 27/05/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ–π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Gonga like Mkuu

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Siku iliyofuata,Kylian aliamshwa ngware,mapema aende anunue mkate alete wakunywe chai. Kylian akienda sokoni,alikutana na Kefa. Kefa alimwambia sikiza,I have some infor na najua penye ako. Kylian akamwambia usijali tushaambiwa na tunajua ako Naivasha lakini Kefa akamwambia sikiza son, mlidanganywa Tinah bado ako na kidnappers na najua penye ako shida tu ni babako ananitumia makarao kunifuata fuata.

Sasa kwa mansion cheki venye mambo yalikua, Asha aliamka akakuja kitchen akamkosa Nura,akaona akuje kwa room yake kumuita lakini kufika kwa room ya Nura akapata ndio Nura amekuja kwa room yake kumuamsha Mathew ju Nura alilala kwa Tinah,Mathew akalala huku na Asha hajui hilo 🀣🀣wacha aingie apate kwanza ndio Mathew anaamka na Nura amesimama hapo,alishtuka akawauliza,yani nyinyi mnafanyia tabia mbaya kwa nyumba ya babangu? Nura akamwambia noo,Mathew alilala huku na mimi nililala kwa Tinah. Punde si punde, Saida pia akafika,🀣🀣🀣hapa sasa Mathew anajitetea aje 🀣🀣ni kweli sisi tunajua ukweli hakuna tabia mbaya wamefanya,na hawakulala pamoja lakini akina Asha? You cant convince them 🀣🀣

Asha alikuja akauliza mamake wee huoni hii story ya Nura haimake sense,huoni walikulana? Saida akamwambia apana,najua Nura anajiweka ukaribu na Mathew ju kuna information tunataka kupata kwa Sabina kutumia Mathew. Asha akauliza mamake,mbona unaingiza Nura kwa vita zako? Mamake akamwambia ni kwa sababu ananiamini,wewe ushachose kuwa side ya Sabina so heri niwork na Nura at least ananiamini.

Ilibidi Asha aje kumuomba Nura msamaha ju sasa ashajua ukweli si ati walilala na Mathew, walibadilishana rooms.

Kefa as he told Kylian ashajua penye Tinah ako na wakati anakuja akamuona Ray na Stano wanaongea. Ray aliambia Stano sikiza, Tinah apelekwe na zile pesa upewe na ukipewa uniletee after 1hr. Stano hana habari Kefa ako rada yake.

Stano aliletea Tinah nguo na akamfungua hadi Tinah akamuuliza wee,k

Photos from Hon Nyironge Victor EGH's post 27/05/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ–π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Gonga like Mkuu
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Mathew alikuja akauliza Asha,huyu Brayson wako rada yake ni gani? Asha akamuuliza amefanya nini? Mathew akamuuliza mbona atuambie Tinah ako sherehe na tena tunapigiwa simu Tinah ako na kidnappers? Asha akamwambia pia ako confused...Mathew akamuuliza,uko sure hakuna kitu unanificha,and what if Brayson ako behind this? Asha akamwambia then nitahakikisha anaozea jela.

Tyrone na yeye alikuja akaambia Sabina sikiza,naelewa situation yako but I cant afford kupoteza pesa zingine na ndio maana inabidi tutumie polisi. Sabina akamwambia k**a ni hiyo then acha mwenyewe nijue venye nafanya. Tyrone akamwambia its ok, I will what to do na kesho lets get Tinah back. Sisi tunajua Sabina anataka watumie pesa ju hizo pesa ndio anazitaka lakini mchawi kitu hajui ni, hizo hizo hizo pesa ndio Brayson anazitaka 🀣🀣🀣

Sabina after kuona Tyrone amekubali,akamcall Stano,akamwambia sikiza,Tyrone ako game,kesho pesa zinakuja and make no mistakes na nataka pesa zangu in full. Pesa gani na hizo pesa Stano yafaa ampee Brayson na nilishawaambia,the reason Ray anazichukua zile pesa kutumia Stano ni ju Stano alimgonga ile siku na akakidnap Tinah.

Nura alikuja kwa Saida na umbea akamwambia guess what,leo Mathew amejiteleza ju alisema Sabina ako na everything under control shida tu hakusema ni nini hicho but Saida ashajua there is something going on.

Nura akienda kulala aliamua kuchungulia kuona Mathew ako hali gani kwa room ya Tinah. Alimpata mwanaume ametulia hapo akaingia kumjulia hali. Kumbe Asha alimuona Nura akiingia hapo penye Mathew ako 🀣🀣🀣na Asha amekua akimshuku sana Nura.

Mathew aliambia Nura hafeel kulala hapa ju kwa room ya Tinah inamkumbusha everything. Nura akamwambia usiwe na wasiwasi,naeza lala hapa kisha wewe uende ulale kwa room yangu bora tu Kylian asijue. Mathew alisema hiyo ni afadhali. Hii yote Nura anataka ukaribu na Mathew si ati anamtaka,anataka information🀣🀣🀣

27/05/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ–π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Mathew alikuja akauliza Asha,huyu Brayson wako rada yake ni gani? Asha akamuuliza amefanya nini? Mathew akamuuliza mbona atuambie Tinah ako sherehe na tena tunapigiwa simu Tinah ako na kidnappers? Asha akamwambia pia ako confused...Mathew akamuuliza,uko sure hakuna kitu unanificha,and what if Brayson ako behind this? Asha akamwambia then nitahakikisha anaozea jela.

Tyrone na yeye alikuja akaambia Sabina sikiza,naelewa situation yako but I cant afford kupoteza pesa zingine na ndio maana inabidi tutumie polisi. Sabina akamwambia k**a ni hiyo then acha mwenyewe nijue venye nafanya. Tyrone akamwambia its ok, I will what to do na kesho lets get Tinah back. Sisi tunajua Sabina anataka watumie pesa ju hizo pesa ndio anazitaka lakini mchawi kitu hajui ni, hizo hizo hizo pesa ndio Brayson anazitaka 🀣🀣🀣

Sabina after kuona Tyrone amekubali,akamcall Stano,akamwambia sikiza,Tyrone ako game,kesho pesa zinakuja and make no mistakes na nataka pesa zangu in full. Pesa gani na hizo pesa Stano yafaa ampee Brayson na nilishawaambia,the reason Ray anazichukua zile pesa kutumia Stano ni ju Stano alimgonga ile siku na akakidnap Tinah.

Nura alikuja kwa Saida na umbea akamwambia guess what,leo Mathew amejiteleza ju alisema Sabina ako na everything under control shida tu hakusema ni nini hicho but Saida ashajua there is something going on.

Nura akienda kulala aliamua kuchungulia kuona Mathew ako hali gani kwa room ya Tinah. Alimpata mwanaume ametulia hapo akaingia kumjulia hali. Kumbe Asha alimuona Nura akiingia hapo penye Mathew ako 🀣🀣🀣na Asha amekua akimshuku sana Nura.

Mathew aliambia Nura hafeel kulala hapa ju kwa room ya Tinah inamkumbusha everything. Nura akamwambia usiwe na wasiwasi,naeza lala hapa kisha wewe uende ulale kwa room yangu bora tu Kylian asijue. Mathew alisema hiyo ni afadhali. Hii yote Nura anataka ukaribu na Mathew si ati anamtaka,anataka information🀣🀣🀣

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Siku i

27/05/2026

π€π˜π€ππ€ 𝐄𝐗𝐓𝐑𝐀 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 ππ‘π„πƒπˆπ‚π“πˆπŽππŸ”₯
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Mambo yamefika level mpya kabisa 😳
Sabina alishika Stano straight away akiwa na kisu, akamwambia,
β€œKijana sikiza, pesa zangu ama nikukate matumbo!” 😱πŸ”₯
Stano alijibu, β€œI swear hakuna pesa niko nazo!”
Lakini kweli Stano alikuwa amepiga deal na Ray, pesa zikaenda kwa Ray si Sabina πŸ˜πŸ˜‚
Robert na Kylian walifika kazini, Kylian akamuuliza Robert,
β€œDad, Tinah alikua anadate bwana ya sister yako?”
Robert akamjibu, β€œYeah but past for now, achana nayo.”
Sabina akachukua uamuzi wa kuchukua pesa zingine, akamwambia Stano,
β€œPigia Tyrone alete pesa zingine, nataka mita tano, si 2 million!” 😳πŸ”₯
Stano akashangaa akamuuliza, β€œMita tano? Hauna huruma?”
Sabina akamwambia, β€œHuruma ni estate, nataka pesa zangu haraka!” πŸ’€
Meanwhile, Annaliza na Robert walikuwa wakiangalia Mathew, kujaribu kuona k**a yeye pia anashirikiana na Sabina.
Robert akasema, β€œSo far Mathew hajawai negative, anakaanga tu humble… humble….” πŸ˜πŸ˜‚
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Baadaye majioni, Brayson alifika kwa Stano kuchukua pesa.
Stano akamwambia, β€œImagine Sabina tena anataka tutumie mtoto wake, tuitishe pesa zingine…”
Brayson akasema, β€œKama kawaida, usinilet down.” 😎
Robert akawaambia Tyrone, β€œVenye Sabina amemuambia, yeye ndio aliwacon hapa…”
Sabina alipofika nyumbani, Tyrone akamuuliza,
β€œWee mwanamke, kichwa chako kina akili kweli?” 🀯
Punde si punde, Stano akapigiwa simu na akamuuliza Tyrone, β€œSikiza mzee, jana ulijaribu kujifanya mjanja, sasa nataka 5 million!”
Stano akamuuliza Tinah simu, akamwambia,
β€œDad, huyu gaidi atanimaliza, please nisaidie!” 😱
Hapa Tyrone akawa confused kabisa, Brayson akawa anachukua pesa kupitia Stano baada ya Stano kumgonga vibaya siku ile 😏🀣
Na ile mita tano Brayson alitaka cut yake clean 🀣🀣
Meanwhile beshte wa Stano alikuja bar kujisifu, Kefa akawa nazo, akasema,
β€œMaboys, pombe yote nalipa mimi, twendelee story!” πŸ˜‚πŸ”₯
Maboys walikosa kusema lolote, kila kitu kiliropoka, huku Kefa akiwa rada yao… mako!

N

Want your school to be the top-listed School/college in Migori?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address

Migori