22/06/2022
Sisi k**a youths tunapaswa kufungua macho yetu,hata ikiwezekana tufungue ya moyo,ili tuone jinsi serikali inatuchezea tusiwatafutie watu kazi sisi tukiwa hatuna kazi,wao wakiwa kule juu wanafunga pipes za kutuletea maendeleo