07/02/2024
Suala la mabadiliko ya tabianchi yanayoletwa na kuongezeka Kwa Carboni Kwenye hewa, sharti lizungumziwe Kwa ushirikiano wa wanshikadau wote katika sekta tofauti hasa wataalamu na watafiti. Katika kongamano lililofanyika nchini mwaka Jana hapa Nairobi, ilibainika kuwa mataifa yanayoendelea hususan Kenya inastahili kupokea ada kutoka Muungano wa Kimataifa. Taifa la Kenya, linaona nafuu Kwa kuwa wamejaliwa kuwa na Carboni Kwenye hewa na inatazamiwa kuwekeza Kwenye Biashara ya Carboni almaarufu " Carbon Trading". Ni jukumu letu wote K**a vijana kuhamasisha Jamii, kuhifadhi mazingira kupitia upanzi wa miti, Matumizi ya magari yasiyotoa moshi. Tayari Kuunga mikono mikakati ya Cop 28. Je, wewe?
Mwandishi Chipukizi.
11/09/2023
# Kila kukicha kumbuka hili:
Jiendeleze,
Jiendeleze ili uweze kuendelea,
Jiendeleze ukawa mfano wa mtu aliyejiendeleza,
Jiendeleze hata K**a Hakuna motisha ya kuendelea,
Wakati mmoja akaja Msamaria akataka uwepo wa mtu aliyejiendeleza. Mimi nazidi kujiendeleza.
Tafakari hata.
14/06/2022
**a Ningeanza Jana Leo Ningekuwa Kwenye Dibaji.
06/06/2022
Badala ya kusema Nikikuwa mkubwa nitakuwa daktari , utasema kwamba Siku za usoni ningependa niwe daktari. Wajua
07/08/2021
Janga hili linahitaji umma kuwa waangalifu Sana. campaign .1
09/01/2021
Mtaa wa Tenwek na hasa viungo vyake pametanda ukungu mkubwa angani.Hali hii inanipa motisha kutunga shairi hili linaloitwa "Siogi ela Siogi".Karibu.
Kuoga sio kuoga, hayo maji vuvutende
Walifokea waoga, K**a wale kiberenge
Tayari Ninao panga, isiyoisha sekunde
Ila hata kwa koga, Siogi na siogii
Niambie alotamba, eti kuoga upende
Hakika hata shujaa, yanapomwendea tenge
Asilani hutatua, bila kunuka na chembe
Ela hata kwa koga, Siogi na siogii
Nipe zako mawaidha, 'husu umuhimu chande,
Tafakari ja mavua, kutokwa na pua pande
Kiini chake ni hasa, kukoga kwa maji 'tende
Ela hata kwa koga, Siogi na siogii
08/01/2021
Asalam aleikum. Ni tumaini langu kuwa U buheri wa afya. Karibu katika Makala haya ya ninapopanwa. Mimi naitwa Mwalimu Kip. Wiki hii , shughuli rasmi za masomo zimerejelewa. Wapo walimu ambao juhudi zao za kutoa huduma kwa wanafunzi pale katika Jamii Ni za kupewa mkono wa tahania. Hizi Ni baadhi tu za msusuru wa Makala hayo.Makala rasmi itachapishwa wikendi.Shukrani.
12/02/2020
Wiki hii Rais mstaafu Daniel Arap Moi Ameaga.Wapo wakuu wengi ,watu watajika ambao wameonyesha masikitiko yao pamoja na sifa nyingi wakimtunuku shujaa Huyu.Hayati mzee ametufunza kuwa yapo sifa anazostahili kuwa Nazo binadamu ambazo hazifunzwi shuleni au popote pale katika taasisi Rasmi.Msamaha,upole na heshima. Popote pale alienda baba Moi,aliwafanyia mema wananchi ambao kamwe hawangemsahau. Iwapo Unataka kutendewa wens basi tenda mema.Tuna changamoto Kubwa k**a taifa kukuza na kuendeleza sifa zake.Sisi K**a Wakenya twasema RaisMoi...Mosin Agui.Inshallah
11/01/2020
Ukurasa Huu WA Facebook utakupa nafasi utangame Nami katika Kujifunza Kiswahili. Shairi hili nimelighani mwaka mpea k**a Toleo langu la kwanza mwaka Huu...
Mlo mbali songeni, Nina mambo ya thamani
Si mambo ya kizamani, ya wakati kupiteni
Ni muhimu maishani, haya mambo kupiteni
Twazipongeza juhudi krismasi hii tukufu