So huyu mrembo kabla tujuane nakuoana, ilibidi one day nimfuate hadi kwao tujuane vizuri ❤️❤️❤️❤️
So nikafika kwao, wazazi wake walikuw wamekaa kitako baada ya pilkapilka za hapa na pale. Wakanikaribisha then
BABA: kichana , wewe ni mgeni hapa, tukusaidie vipi?
Haraka nikakumbuka alikuwa ameniambia ana bro anaitwa Oliver
MIMI: nimekuja kuona Oliver, ni rafiki yangu tunasoma naye na tuko kwa school team pamoja.
BABA: hivyo ni vizuri sana, vijana kukuza talanta. Mama watoto hebu leta Oliver hapa aonane na rafiki yake.
Wapendwa wa mungu Oliver akaletwa, akaketshwa kwenye kiti. Then ñikaulizwa , "ulisema mmjuana kwa muda mrefu? 😭😭😭😭😭😭😭
That's the only sentence bado nakumbuka hadi wa leo. Mengine sikumbuki kabisa
Haron Nyongsa Karungani K E.
Am a teacher, passionate about seeing learners growing and becoming successful. Am a friend
12/08/2024
This this clouds are nimbus, which causes heavy rains, this leads to gulley erosion. The land might have raised parts which are very close and higher than the sorounding area. The 2 ridges lie side by side 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Philip Ogwo, Rael Killy, Nomathemba Zungu, Augustina Olije, Mamake Lavian
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Philip Ogwo, Rael Killy, Nomathemba Zungu, Augustina Olije, Mamake Lavian ,, 👏👏👏👏👏👏👏
Mbona hamwoni kuna shida Kenya? Kumetulia sana na hivi si vizuri😂😂😂😂😂 kesho ni Tuesday
police wako idle na tunawalipa surely,noooo alafu , president ana enjoy kule statehouse nimerealise ameanza kuincrease wight and that is very dangerous. Anaweza introduce tax nyingine ya 1.2 % TAX ON IDLE COUNTRY
Mbona hamwoni kuna shida Kenya? Kumetulia sana na hivi si vizuri😂😂😂😂😂 kesho ni Tuesday
01/08/2024
Happy new month
Nimekuwa kwa bafu naoga nikaskia watoto wanaimba
"Nilikufuata uko unaliaaaa aa
Kutaka wako msamaaa bebi
Ila wee ukanichumbia a a
Siulitaka minidediii
Alafu nikasikia
Unatingiza kiberiti titiitititi🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aki hawa ma Alpha. But nimeita mkutano wa wazazi nataka nijue
UTAPATA LIMAMA AU LIBABA LINAIMBA
23/07/2024
Enough is enough
Hakuna kitu husumbua mwanamume k**a dem apite mbele yake na amebeba mkononi, hata aitwe haitiki, ageuzwe hageuko😂😂😂😂😂 haki surely nyanyamash wewe🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Then yule mtu alianzisha koko! Mungu anakuona. Wazee wamekuwa watumwa na tumtungi kwa shingo. The founder anastahili apigwe risasi ya kichwa na no insurance company should pay the family.Aki koko wewe.......that is one of my problems, second is
I dont understand why people hate our beloved president,His Excellency Doctor William Samoei Ruto.He is the best president ever and he has a great vision to our country,he deserved this seat and he is working efficiently but he only needs someone to advise him to resign because nothing he does rather giving empty promises.
Click here to claim your Sponsored Listing.