Makuzi Ya Kiswahili/25. Chuo kikuu Cha Moi

Makuzi Ya Kiswahili/25. Chuo kikuu Cha Moi

Share

Tunahamasisha matumizi sahihi ya kiswahili na kuunganisha wanafunzi wenzetu.

Ni jukwaa la wanafunzi wa Kiswahili katika Chuo Kikuu Cha Moi linalolenga kukuza lugha ya kiswahili kupitia mijadala ya kitaaluma,ubunifu wa fasihi,na shughuli za kijamii.

01/06/2026

Iwapo hii ni Yako wahi kikashani

03/05/2026

Kali sanaa 😀😀😀

26/04/2026

Kila la heri mnapoelekea pale shule ya msingi na wengine shule za upili kwaajili ya kufunza. K**a unalo sharti tao pia usisahau kubeba,Wacha tueneze kiswahili Kila pahali 😊Makuzi siku zote 🥰💝

24/04/2026

Umemaliza exam 😎??

20/04/2026

Mnasema kesho tutumie ukumbi upi kwaajili ya bks 221

20/04/2026

Hamjambo wapenzi wa lugha,kesho tarehe 21,,tuna MTIHANI WA BKS 221 saa tisa Hadi saa kumi na mbili jioni.

Nawatakieni Kila la heri 😘😊😊

15/04/2026

Karibuni sana,,,
Hapa ndipo..

Want your school to be the top-listed School/college in Eldoret?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address

850. 64
Eldoret