01/06/2026
Iwapo hii ni Yako wahi kikashani
Tunahamasisha matumizi sahihi ya kiswahili na kuunganisha wanafunzi wenzetu.
Ni jukwaa la wanafunzi wa Kiswahili katika Chuo Kikuu Cha Moi linalolenga kukuza lugha ya kiswahili kupitia mijadala ya kitaaluma,ubunifu wa fasihi,na shughuli za kijamii.
01/06/2026
Iwapo hii ni Yako wahi kikashani
03/05/2026
Kali sanaa 😀😀😀
26/04/2026
Kila la heri mnapoelekea pale shule ya msingi na wengine shule za upili kwaajili ya kufunza. K**a unalo sharti tao pia usisahau kubeba,Wacha tueneze kiswahili Kila pahali 😊Makuzi siku zote 🥰💝
Umemaliza exam 😎??
Mnasema kesho tutumie ukumbi upi kwaajili ya bks 221
Hamjambo wapenzi wa lugha,kesho tarehe 21,,tuna MTIHANI WA BKS 221 saa tisa Hadi saa kumi na mbili jioni.
Nawatakieni Kila la heri 😘😊😊
Karibuni sana,,,
Hapa ndipo..