12/10/2025
Texte : matendo ya mitume 24:20
Thème : UMEONA KOSA GANI KWANGU ?
Kosa: ni tendo ao kauli ambayo inakwenda kinyume na kanuni ,taratibu ao sheria za jamii ao inchi
° waweza kuona MAKOSA kwako kwa sababu una tabiya mbaya.
°piya WATU waweza kuona MAKOSA kwako kwa sababu una matendo mazuri
° kush*takiwa yale uliyo ya fanya kinyume na sheria
° kushuhudiwa uongo
Ndio maana Paulo anasema : mdo 24:20 ao WATU Hawa wenyewe waseme ni kosa gani waliloliona kwangu wakati nilipo simama mbele ya baraza kubwa.
MAMBO YANAWEZA SABABISHA WATU WAONE KOSA KWAKO
1.Kuwaambiya ukweli GALATIYA 4:16
2.kush*takiwa uongo 1fal 21:1ss
3.kuchukiwa
4.kutaka utengwe n'a rafiki ZAKO
5.kukudharaulisha
TUFANYE NINI WATU WANAPO TUONA MAKOSA KWA BURE
1.TUWE VIELELEZO KATIKA MWENENDO MZURI
2 .JITAHIDI KUJIONYESHA KWAMBA UMEKUBALIWA NA MUNGU
3.USIJALI WATU BA JALI MUNGU ANAYE OKOWA
4.CHUNGUZA UNAYO YATENDA
5 JIPANGE SAWA SAWA NA MUNGU