Pasteur Alembe AMANI

Pasteur Alembe AMANI

Partager

NAPENDA LEO NAWE UMUKUBALI YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI AMEN.

30/12/2025

tukabizi maisha yetu kwa Yesu tu

30/12/2025

kila kitu ni wakati wakati wa mateso na wakati wa furaha

26/12/2025

Sifa heshima ni kwa Yesu

26/12/2025

wenye nguvu ndio watauteka ufalme wa mbinguni

25/12/2025

Pokeya wokovu sasa dunia isikubebe wakati

22/12/2025

Bwana wama Bwana ndiye jina lake Yesu

19/12/2025

Nimejifunza kusamehe ili Roho yangu iwe na amani

14/07/2025

kuna kitu nimejifunza kuhusu SAFARI

bahazi ya watu wengi wanakuwa wanafiki sana tena zaidi ya sana
kuna neno ndogo ambayo watu wengi upenda sana kuiisema ila awamanishi

UPENDO =

utasikia nakupenda
sipati usingizi kwa ajili yako
uko ndani ya moyo wangu
nitafanya chochote kwa ajili yako

ayo yote ni maneno ila sio matendo
vivyo hivyo imani peke yake bila matendo imekufa

kitu ambacho kimenishangaza sana ni wakati watu wakiwa kwenye safari
SAFARI yenye kutisha sana hapo kila mtu huonesha UPENDO kwa mwenzake

sio upendo wa maneno ni upendo
wa matendo hatak**a huna chakula
uwezi ukalala na njala wakati chakula kipo lazima utakula tu

Bwana Yesu kabla aja kwenda mbinguni neno yake alisisitiza kuwa tupendane

UPENDO ya wengi imesha baki kwenye maiti tena wengi usema upendo ila awajuwi upendo ni nini ?

ndani ya upendo tunaona mambo mengi sana tena ukishika aya ndio unakuwa na upendo wa kweli

huvumilia
mwenye upendo hana wivu
wala hajivuni
mwenye upendo akosi kuwa na adabu
hatafuti faida yake binafsi
wala hana wepesi wa hasira
haweki kumbukumbu ya mabaya
hafurahii uovu

hayo ni bahazi tu ya upendo wa dhati tena kuna mengi tu nafupisha kwa kuwa watu wengi wamesha penda kusiki habari za mapenzi tu

jitafakari tena jiulize k**a kweli una upendo wa kweli ndani yako kwakuwa bila upendo huwezi fika mbinguni

achana na maneno ila jitaidi sana kufanya matendo unajuwa ni kwanini wasafiri huonesha upendo wakati wa safari

kwanza wote wanakuwa na woga wa kifo tena wanajuwa aliye pembeni yangu ndiye ndugu yangu

labda tunaweza kupata ajali mimi nisiweze kushimama aliye karibu yangu anaweza kunisaidia

wewe ni nani aliye karibu yako sasa hivi ? labda unamuchukia aupendi atakusikia sauti yake

ila tambuwa kuwa aliye karibu yako ndiye atakaye kuzika
badilika sasa unesha upendo kwa kila mtu tena bila unafiki na k**a amekukosea tumia neno musamaha

MUNGU AKUBARIKI

26/02/2025

nyoka ya shaba ilivyo huwa wana wa israël nakuleta tena amani

10/02/2025

shetani huwa nyuma yetu kila mara tunapotembea

Photos from Pasteur Alembe AMANI's post 10/02/2025

Mungu iko katika majaribu unayopitia yéyé alali inakubidi uwe na subira ili ajibu maitaji Yako usikimbiliye waganga wa asili awana musahada zaidi ya kukutapeli tu

Vous voulez que votre école soit école la plus cotée à Uvira ?

Cliquez ici pour réclamer votre Listage Commercial.

Emplacement

Téléphone

Site Web

Adresse

Uvira