Bongoma Fleva

Bongoma Fleva

Share

Aimons nous vivant

07/05/2026

English 👇🙄

27/04/2026

Anglais & Français 👇

27/04/2026

English

23/04/2026

Niwangapi wanao jua jina mbili za huyu mchekeshaji

21/04/2026

MUNGU PIGANIA MAYATIMA🙏

20/04/2026

English 🙄

09/04/2026

🔕Msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania, Seif Shaban Ramadhan maarufu kwa jina la kisanii “Matonya”, amefikishwa mbele ya Mahak**a ya Shanzu Jijini Mombasa, Kenya akikabiliwa na shtaka la ubakaji.

Matonya, ambaye amewahi kutamba na nyimbo maarufu k**a ‘Vaileti’ na ‘Anita’, amekanusha tuhuma zote zinazomkabili Mahak**ani hapo.

Baada ya kusomewa mashtaka, Mahak**a imemruhusu kuwa nje kwa dhamana ya Shilingi milioni 10 za Kitanzania, huku ikiweka masharti ya kukabidhi hati yake ya kusafiria Mahak**ani.

Aidha, Msanii huyo amezuiliwa kusafiri nje ya eneo husika bila kupata kibali rasmi kutoka Mahak**a hiyo hadi kesi yake itakaposikilizwa na kuamuliwa.

Toa maoni yako
Baada ya ku Like page yetu # Congomanews

09/04/2026

🚨Un minibus en provenance de Minova a failli terminer sa course dans le lac Kivu sur la route nationale n°2 (Goma–Bukavu), au niveau de - Kirotshe, à 14 km de la cité de Sake. Cet endroit est réputé dangereux🔕Pole kwa wandugu wetu

Want your school to be the top-listed School/college?

Website