04/05/2026
Sio kila anayekupinga amekosea. Mara nyingi anaona tofauti na wewe unavyoona usikasirike tena Kwanini twende sawaa....
Kuna siku utagundua kuwa tatizo halikuwa watu waliokuzunguka…
tatizo lilikuwa unajaribu kuwafanya waishi ndani ya kichwa chako.... Utasema kivipi😁 lakini jua kwamba...
Watu wanaokuzunguka hawaishi ndani ya kichwa chako.
Na hapo ndipo safari inaanza sio ya nje tu, bali ya ndani pia...
Unakaa nao, unasikiliza wanachosema, unaona wanavyofanya maamuzi, halafu ndani yako unajiuliza
Hawa watu wanafikiria kweli....
Lakini ukweli wa ndani zaidi ni huu....
Sio kwamba hawafikirii
Wanafikiria tofauti na wewe unavyofikiria... Au kuwaza
Na sio tu tofauti ya akili au mawaz.. Bali...
Ni tofauti ya nafsi, majeraha, malezi, na hata namna roho zao zimejengwa wanasema background....
Hapo ndipo wengi tunapokosea
Badala ya kuelewa tofauti, tunahukumu....
Badala ya kusoma mioyo ya watu, tunawahukumu kwa maneno yao au minendo yao....
Au tunajinyamazisha ili tukubalike, tukipoteza sauti ambayo tulipewa kwa kusudi na Mungu....
Sasa swali linabadilika
Unafanya nini pale ambapo roho yako haisikilizani na roho za watu wanaokuzunguka au mawaz yako hayakubalikia au kulandana na wengine katika familia darasa au kundi lolote ulilop.....
Kuna mtu aliwahi kupitia hali hii
Aliingia kazini kila siku na ukweli wake, maono yake, na namna yake ya kuona maisha.... Ilikuwa tofauti na ya wengine
Na hii ilifanya kila alipoongea, hakueleweka
Kila aliposimama kwenye msimamo wake, alionekana tofauti...
Na polepole akaanza kujiuliza🤔
Tatizo ni mimi au wao....
Mpaka siku moja alipokutana na boss mmoja wa kampuni tofauti na alipokuwa anafanya kazi.....
Boss huyu alikuwa na tabia moja tuseme mbaya....
Kila mtu ambaye hakukubaliana naye, alimchukulia k**a mjinga...
Hakusikiliza
Hakujifunza
Alijiona yeye ndiye kipimo cha ukweli
Ndipo swali likazaliwa.... Jamaa akamuuliza yule boss... Hivi bro...
Kati ya hawa waajiriwa wako na wewe ambaye ndiyo umewaajiri nani a napaswa kuitwa mjinga....
Swali hilo lilikosa jibu maana ilikuwa somehow rhetoric halikuhitaji jibu.... Au wewe ungejibuje😁
Lakini muuliza Swali alipata somo pia kwamba siku zote tunawaona wengine wanaokosea au wajinga kwa sababu tunataka wakubaliane na sisi kitu ambacho sio sahihi maana tunatofautiana....
Basi bana jamaa..
Akarudi kazini kwake akiwa tofauti
Hakubadilisha watu
Alibadilisha mtazamo wake wa ndani.....
Hapo ndipo hekima inaanza
Kuelewa kwamba watu hawawezi kuwa k**a unavyotaka
lakini unaweza kujifunza kuishi nao bila kupoteza kile ulicho....
Mwanasaikolojia Carl Jung aliwahi kusema
Tunachokiona mara nyingi ni kile tunachofanya lakini hatuoni kwanini tunakifanya.... 🤔Ngumu e hapana....
hapa ndipo saikolojia inakutana na Roho na mwili....
Kwa sababu kabla hujaelewa watu
lazima ujitambue wewe
Na kujitambua sio tu kujua unavyofanya
ni kujua ndani yako kuna nini kinachokusukuma kufanya hivyo reason behind au purpose ya kufanya na hii ndio why yako...
Hapo ndipo wewe halisi unapoishi....
Lakini hata huyo wewe
Hakuja tu
Uliundwa
Kupitia malezi, mazingira, watu, na uzoefu
Uliiga Ulichukua Ulijenga....
Kutoka Utotoni au tuseme tumboni mwa Mama yako... Lakini zaidi utotoni through imitation....
Sasa jiulize kwa undani zaidi
Ni vitu gani ulivyovichukua ambavyo sio wewe halisi bali ni matokeo ya mazingira....
Hapo ndipo safari ya kiroho inaanza....
Kwa sababu kiroho ni kurudi kwenye ukweli wa ndani....
kuondoa tabaka zote ambazo sio wewe na kubaki na kile kilichowekwa ndani yako tangu mwanzo....
Lakini kuna ufunguo mwingine muhimu sana
Kuelewa watu
Sio kwa macho ya hukumu bali kwa macho ya ufahamu....
Hapo ndipo mfumo wa DISC unaingia k**a ulivyoelezwa kwenye kitabu cha Surrounded by Idiots cha Thomas Erikson....
Lakini hapa usiuone tu k**a personality
uone k**a namna tofauti za uumbaji wa binadamu....
Anasema binadamu tunaongozwa na hili neno DISC
D Dominance Utawala
Hawa ni watu wa hatua wanapenda matokeo wanasukuma mambo wanataka kuona kitu kinatokea
Kiroho hawa ni wapiganaji LAKINI bila hekima wanaweza kuumiza wengine bila KUJUA....
I Influence Ushawishi
Hawa ni watu wa mahusiano wanavuta watu wanajenga connection wanaishi kupitia MAWASILIANO....
Kiroho hawa ni waunganishaji lakini bila mizizi wanaweza kupotea kwenye kutafuta KUKUALIKA....
S Steadiness Utulivu
Hawa ni watu wa amani wanatunza wanavumilia wanajenga UTHABITI....
Kiroho hawa ni walinzi wa amani lakini bila msimamo wanaweza kubaki kimya hata wanapopaswa KUSEMA...
C Conscientiousness Umakini
Hawa ni WACHAMBUZI....
wanatafuta ukweli wanapenda usahihi na utaratibu
Kiroho hawa ni watafuta ukweli lakini bila upendo wanaweza kuwa wakosoaji wa kila kitu
Sasa ukweli huu ukikaa ndani yako VIZURI.....
Utaacha kupambana na watu
utaanza kuwaelewa
Utaacha kuwabadilisha
utaanza kuwafikia
Na hapo ndipo maisha yanaanza kuwa MEPESI......
Lakini kuna swali moja ambalo huwezi kulikimbia
Wewe ni nani kabla ya dunia haijakuambia uwe NANI.....
Na ukiamua kukaa kimya leo bila kelele za watu bila pressure ya mazingira
Ni sauti gani ya ndani itaanza KUONGEA.... NDANI YAKO..
Na elewa kwamba
*Sio kila anayekupinga amekosea. Mara nyingi anaona tofauti na wewe unavyoona usikasirike tena Kwanini twende sawaa....*
Kuna siku utagundua kuwa tatizo halikuwa watu waliokuzunguka…
tatizo lilikuwa unajaribu kuwafanya waishi ndani ya kichwa chako.... Utasema kivipi😁 lakini jua kwamba...
Watu wanaokuzunguka hawaishi ndani ya kichwa chako.
Na hapo ndipo safari inaanza sio ya nje tu, bali ya ndani pia...
Unakaa nao, unasikiliza wanachosema, unaona wanavyofanya maamuzi, halafu ndani yako unajiuliza
Hawa watu wanafikiria kweli....
Lakini ukweli wa ndani zaidi ni huu....
Sio kwamba hawafikirii
Wanafikiria tofauti na wewe unavyofikiria... Au kuwaza
Na sio tu tofauti ya akili au mawaz.. Bali...
Ni tofauti ya nafsi, majeraha, malezi, na hata namna roho zao zimejengwa wanasema background....
Hapo ndipo wengi tunapokosea
Badala ya kuelewa tofauti, tunahukumu....
Badala ya kusoma mioyo ya watu, tunawahukumu kwa maneno yao au minendo yao....
Au tunajinyamazisha ili tukubalike, tukipoteza sauti ambayo tulipewa kwa kusudi na Mungu....
Sasa swali linabadilika
Unafanya nini pale ambapo roho yako haisikilizani na roho za watu wanaokuzunguka au mawaz yako hayakubalikia au kulandana na wengine katika familia darasa au kundi lolote ulilop.....
Kuna mtu aliwahi kupitia hali hii
Aliingia kazini kila siku na ukweli wake, maono yake, na namna yake ya kuona maisha.... Ilikuwa tofauti na ya wengine
Na hii ilifanya kila alipoongea, hakueleweka
Kila aliposimama kwenye msimamo wake, alionekana tofauti...
Na polepole akaanza kujiuliza🤔
Tatizo ni mimi au wao....
Mpaka siku moja alipokutana na boss mmoja wa kampuni tofauti na alipokuwa anafanya kazi.....
Boss huyu alikuwa na tabia moja tuseme mbaya....
Kila mtu ambaye hakukubaliana naye, alimchukulia k**a mjinga...
Hakusikiliza
Hakujifunza
Alijiona yeye ndiye kipimo cha ukweli
Ndipo swali likazaliwa.... Jamaa akamuuliza yule boss... Hivi bro...
Kati ya hawa waajiriwa wako na wewe ambaye ndiyo umewaajiri nani a napaswa kuitwa mjinga....
Swali hilo lilikosa jibu maana ilikuwa somehow rhetoric halikuhitaji jibu.... Au wewe ungejibuje😁
Lakini muuliza Swali alipata somo pia kwamba siku zote tunawaona wengine wanaokosea au wajinga kwa sababu tunataka wakubaliane na sisi kitu ambacho sio sahihi maana tunatofautiana....
Basi bana jamaa..
Akarudi kazini kwake akiwa tofauti
Hakubadilisha watu
Alibadilisha mtazamo wake wa ndani.....
Hapo ndipo hekima inaanza
Kuelewa kwamba watu hawawezi kuwa k**a unavyotaka
lakini unaweza kujifunza kuishi nao bila kupoteza kile ulicho....
Mwanasaikolojia Carl Jung aliwahi kusema
Tunachokiona mara nyingi ni kile tunachofanya lakini hatuoni kwanini tunakifanya.... 🤔Ngumu e hapana....
hapa ndipo saikolojia inakutana na Roho na mwili....
Kwa sababu kabla hujaelewa watu
lazima ujitambue wewe
Na kujitambua sio tu kujua unavyofanya
ni kujua ndani yako kuna nini kinachokusukuma kufanya hivyo reason behind au purpose ya kufanya na hii ndio why yako...
Hapo ndipo wewe halisi unapoishi....
Lakini hata huyo wewe
Hakuja tu
Uliundwa
Kupitia malezi, mazingira, watu, na uzoefu
Uliiga Ulichukua Ulijenga....
Kutoka Utotoni au tuseme tumboni mwa Mama yako... Lakini zaidi utotoni through imitation....
Sasa jiulize kwa undani zaidi
Ni vitu gani ulivyovichukua ambavyo sio wewe halisi bali ni matokeo ya mazingira....
Hapo ndipo safari ya kiroho inaanza....
Kwa sababu kiroho ni kurudi kwenye ukweli wa ndani....
kuondoa tabaka zote ambazo sio wewe na kubaki na kile kilichowekwa ndani yako tangu mwanzo....
Lakini kuna ufunguo mwingine muhimu sana
Kuelewa watu
Sio kwa macho ya hukumu bali kwa macho ya ufahamu....
Hapo ndipo mfumo wa DISC unaingia k**a ulivyoelezwa kwenye kitabu cha Surrounded by Idiots cha Thomas Erikson....
Lakini hapa usiuone tu k**a personality
uone k**a namna tofauti za uumbaji wa binadamu....
Anasema binadamu tunaongozwa na hili neno DISC
D Dominance Utawala
Hawa ni watu wa hatua wanapenda matokeo wanasukuma mambo wanataka kuona kitu kinatokea
Kiroho hawa ni wapiganaji LAKINI bila hekima wanaweza kuumiza wengine bila KUJUA....
I Influence Ushawishi
Hawa ni watu wa mahusiano wanavuta watu wanajenga connection wanaishi kupitia MAWASILIANO....
Kiroho hawa ni waunganishaji lakini bila mizizi wanaweza kupotea kwenye kutafuta KUKUALIKA....
S Steadiness Utulivu
Hawa ni watu wa amani wanatunza wanavumilia wanajenga UTHABITI....
Kiroho hawa ni walinzi wa amani lakini bila msimamo wanaweza kubaki kimya hata wanapopaswa KUSEMA...
C Conscientiousness Umakini
Hawa ni WACHAMBUZI....
wanatafuta ukweli wanapenda usahihi na utaratibu
Kiroho hawa ni watafuta ukweli lakini bila upendo wanaweza kuwa wakosoaji wa kila kitu
Sasa ukweli huu ukikaa ndani yako VIZURI.....
Utaacha kupambana na watu
utaanza kuwaelewa
Utaacha kuwabadilisha
utaanza kuwafikia
Na hapo ndipo maisha yanaanza kuwa MEPESI......
Lakini kuna swali moja ambalo huwezi kulikimbia
Wewe ni nani kabla ya dunia haijakuambia uwe NANI.....
Na ukiamua kukaa kimya leo bila kelele za watu bila pressure ya mazingira
Ni sauti gani ya ndani itaanza KUONGEA.... NDANI YAKO..
Na elewa kwamba...
Maisha ni mafupi mno hivyo kuishi kwa hasira na migogor
Haitakiwi... kwenye familia jumiiya darasan na popote..... Ulipo hivyo unapaswa kujijua wewe Unatabia gani kutoka. Katika framework yetu na DISC na ujifunze Kuishi na kila Mtu kadiri ya character yake....
Na kwa kufanya hivi mahusiano yetu na wengine yatakuwa mazuri na bora Kuliko Iliyokuwa. Mwanzo.
Hope umepata kitu...
C&P
Empowering you to rise.
22/04/2026
22/04/2026
10/04/2026
13/03/2025
06/03/2025