Kwetu MOSHI

Kwetu MOSHI

Comments

Wazo la leo kunywa ukiwa umeshiba

Kunywa ukiwa na shibe
Moshi ndy home
Hodiii
Napenda Moshi jaman
Hivi wasanii gani maarufubongo watokea mkoa wetu wa moshi ,
UNIVERSAL COLLEGE OF AFRICA
Chuo maalumu cha ujuzi Tanzania.

Chuo kipo mkoa wa Dar es Salaam kimesajiliwa rasmi na serikali kupitia taasisi ya VETA kwa usajili kamili wa namba VET/DSM/PR/2016/C/122.

Chuo kimeaminiwa na kupewa mamlaka kwaajili ya kufundisha kozi za ujuzi kwa ngazi ya cheti kwa wahitimu wa elimu ya sekondari kidato cha nne.

Karibu ujiunge facebook group la chuo.
JIUNGE KWA KUBONYEZA HAPA❗️
https://www.facebook.com/groups/1628487690653148/

LIKE | JOIN | SHARE
Wilaya ya Moshi vijijini tarafa ya Kibosho Umbwe Kijiji Mkomongo
Natafuta mume wakuniowa whatspp 0756782622
Mungu kwanza
Mungu k
M
ha ha
ekambe Mzee
Hie guys
Penda x**a moxhi
moshi is my totor
chali
Ya
MB

Ukurasa maalum kwa wote wanaipenda MOSHI na wanaoishi au waliowahi kuishi MOSHI pia wale wote wanaota

Operating as usual

07/12/2022

Moshi is a town in northern Tanzania at the foot of Mount Kilimanjaro, the highest mountain in Africa. Moshi is known for its coffee farms and has busy, colorful streets where there is always something interesting to discover and people to meet.

https://t.co/2rAnp8UsU1

04/03/2021

Moshi yenu hii hapa..!

02/03/2021

Nani wa kujua Hii Picha imepigwa wakati Gani!?

27/02/2021

Kesho ni mwendo wa kukimbia tu! Nani anataka twende live?

25/02/2021

Unatupata ukiwa wapi kwa sasa!?

Photos from Kwetu MOSHI's post 14/02/2021

Haya Tumuunge mkono mwenzetu. Yupo Arusha kwa mawasiliano yake nicheki Inbox!

14/02/2021

Mnaonitumia matangazo inbox ili niwapostie wekeni details zote msifanye mambo nusu nusu!! Offer ni wiki hii tu!

02/01/2021

Kesho tunaanza kutawanyika kila kona ya Dunia kutokea Moshi. Lengo ni moja tu.. Kukusanya pesa zote na kuzirudisha MOSHI!!

24/08/2020

Dondosha msemo uliouona umeandikwa kwenye Gari ukakufurahisha. Twende kazi!!

22/08/2020

Kwetu Moshi, kijiji cha URU. Wewe kwenu wapi!?

13/08/2020

Kwa wana Moshi Ije Pullover au T-shirt?

04/08/2020

PICHANI NI BILL GATES alipoitmbelea kituo cha utafiti wa kinga ya Malaria kilichopo Moshi V kata ya Mabogini. PAMVERC ilikua Jul 25 2014.

Timeline photos 02/06/2020

Kwangu mimi asubuhi ni ule muda ambao ninaamka kuanza siku mpya, haijalishi ni saa nane mcha au ni saa tisa usiku. Vijana wengi tunapoteza muda ktk mambo yasiyo na msingi wala maana ktk maisha yetu. K**a nilivyokwambia juzi muda unaoupoteza leo utaukumbuka siku flan na machozi yatakutoka.Leo nitakupa baadhi ya hayo mambo ili uweze kuyaepuka na kwenda ktk njia sahihi.
_

Unashindwa kufanya maamuzi k**a mtu huru kwa hofu ya watu watakuonaje, hili ni jambo baya sana na limewafelisha wengi, unashindwa kumwambia mtu HAPANA sababu unahofu atakuchukuliaje yaan uko tayar kuharibu maisha yako ili mtu mwingine afurahi.
Unakuta mtu anakushawishi unywe pombe,uvute sigara na ww kwasababu n mtu wako wa karibu unaamua kufanya ili aridhike lkn unasahau unamridhisha yeye kwa wewe kujiua. Lolote unaloona lina maana ktk maisha yako FANYA na usijali mashabik watasemaje ishi maisha yako ktk njia inayompendeza Mungu na inayokupendeza wewe mwenyewe na atakayekuchukia wala usisumbuke nay jua huyo ndo Yule shetani aliyetupwa duniani.
_

Ipo tofauti kubwa kati ya kusoma na kuelimika, wengi wanapoteza muda kusoma ila ni wachache wanautumia muda wao vizuri kuelimika. Kusoma n kupata cheti na kuelimika n kupata maarifa hata bila ya cheti. Wengi wanaamini kupata chet ndo mpango mzma hvyo wanaamua kukaa darasan miaka na miaka ili tu na yy awe na GAMBA Akina sisi tumkome.
_

Kuwa na rafiki asiye na maana inakupotezea muda na inakuchelewesha kufika sehem uliyopanga. Wapo marafik ambao hawana cha maana yeye akikuchek n raman mbovmbov tu anakupa. Jim Rohn aliwahi kusema “you’re the average of the five people spend the most time with,” Hivyo kuwa makini sana na watu wako wa karibu. Nakwambia ukiona ww ndo kichwa ktk group yaan ww ndo wanakuaminia basi jua upo na vilaza wa hatari na anza kubadilisha marafiki ili ukapate challenge mpya kutoka kwa watu makini kma ww. Usisahau ufupi au refu wako inategemea unatembea na nani.


Mtaje rafiki yako mmoja ajue unathamini uwepo wake kwako.



🇹🇿

01/06/2020

bit.ly/2AnazJm

01/06/2020

ASANTENI SANA KWA WALE WOTE MNAOENDELEA KULIKE HII PAGE. NILIKUA KIMYA KWA MUDA ILA NIMERUDI NA MAMBO MAZUURI. USIKOSE.

30/05/2020

bit.ly/2AnazJm

Hizi ni mbinu za kufanikiwa haraka ktk biashara. Gusa link hapo juu.

17/11/2019

Msimu wa kurudi nyumbani ndo huoo umewadia. Wakumbushe marafiki zako wawili.

13/08/2019

Juu ya jengo gani hapa??

13/08/2019

Ni nani akikupigia simu ukiwa na mpenzi wako huwezi kupokea kwa gharama yeyote..??
Mimi simu ya Msofe sipokei kamwe! 😂 😂 😂

12/08/2019

Ukiwa k**a mpenda maendeleo wa Moshi unadhani nini kinainyima Moshi fursa ya kuwa jiji?

09/08/2019

UTALII WA NDANI.

Tafiti zinasema huyu ndo mnyama anayengoza kwa kuuwa wawindaji katika mapori ya Africa na huwa hang'ati, yeye atakugonga na kichwa, kukuchota na pembe au pua. Inasemekana akikugonga ni sawa na mtu aliyegongwa na gari ikiwa kwenye speed 50.

Pia kutokana na tabia yake hiyo ya kuwaadabisha wanaokatiza kwenye anga yake imepelekea kupewa majina k**a Black death au widow maker.

PICHA
Anaonekana akiwa ametoka kuoga kwenye uji wa tope, huwa wanafanya hivi kushusha joto la mwili k**a ww unavyooga au kuwasha AC. Pia hufanya hivi kujilinda na vijidudu virukavyo k**a nzi, mbung'o pamoja mbu (ukiangalia juu ya kichwa utaona wengi wanapaa paa apo wameshindwa kutua) vile vile wanafanya hivi kuuwa viroboto na kupe wanaowapata wakiwa kwenye nyasi ndefu.

nicheki inbox kwa booking

08/08/2019

Huu ni mzunguko wa mwenge barabara ya Moshi Arusha. Mwenge umetolewa na sasa unajengwa mlima Kilimanjaro. Usisahau kupiga picha hapa ukiwa Mo town.!

08/08/2019

Moshi yetu kutoka mashambani

11/05/2019

Wanamoshi katika mstari kumuaga Billionaire Mengi.

08/05/2018

Mtag Rafiki yako mwenye mume/mke mfupi..!

07/05/2018

Nani anajua jina la Huyu nyoka?

29/04/2018

Verify

12/08/2017

Kwa mara nyingine tena Halmashauri ya Manispaa ya Moshi imeshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya usafi wa mazingira kwa Halmashauri za manispaa na majiji nchini. Tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo Moshi imekua ikishika nafasi ya kwanza miaka mingi mfululizo isipokua mwaka jana ambapo Manispaa ya Iringa iliongoza na Moshi kushika nafasi ya pili.

Hii ni kumaanisha kuwa manispaa ya Moshi ndiyo eneo safi zaidi kuliko eneo lolote la Tanzania bara. Licha ya kuongoza nchini, Manispaa ya Moshi imewahi kuongoza kwa usafi wa mazingira kati ya manispaa na majiji yote Afrika Mashariki mara kadhaa.
Pongezi Kwa mstahiki Meya Ndug. Mboya na Mbunge Japhary Michael Muendelee na Moyo Huo huo.

Want your school to be the top-listed School/college in Moshi?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Verified

Verified

Videos (show all)

Location

Telephone

Website

Address


8878
Moshi
255565
Other Moshi schools & colleges (show all)
Tzkijana Badilika Tzkijana Badilika
Hai
Moshi

Pata mafunzo ya namna ya kufanikiwa, Ujasiriamali,Biashara zenye mtaji mdogo,Namna ya kuanzisha bias

Mudio Islamic English Medium Primary School Mudio Islamic English Medium Primary School
Kilimanjaro, Hai
Moshi, HAIS.L.P8387

KARIBU KATIKA SHULE ITAKAYOMLEA MTOTO WAKO KATIKA MALEZI YA KIISLAMU NA KUFANYA VIZURI PIA KITAALUMA

Innotaxi Driving SCHOOl Innotaxi Driving SCHOOl
Vijana
Moshi

Mafunzo Bora ya udereva, leseni, bima na Latra

Mtakuja Secondary School Mtakuja Secondary School
Moshi

MTAKUJA SECONDARY SCHOOL is found at Kilimanjaro region in Moshi district... This School is usin

Kiboshanty_academy Kiboshanty_academy
Lema Road
Moshi, P.OBOX7826

Academic Core Values Collaborative Communication Creative Thinking Creative Problem Solving Global C

Eutzconnect Eutzconnect
Shantytown
Moshi

Eutzconnect assist students to pursue higher education abroad and also provide meaningful Internship

Study Methodology Study Methodology
A 1104 Kasturi Voyage , Behind Mkt Yard
Moshi, 412105

Study Methodology

Moshi Alpha Day Care Center Moshi Alpha Day Care Center
0653703610
Moshi

New life academy -Msaranga New life academy -Msaranga
Msaranga
Moshi

New life academy ni shule inayopokea na kusajili watoto wadogo wenye umri wa mwaka 1 mpaka 4. Shule

ßīllīāt ẞœ ßīllīāt ẞœ
Soweto
Moshi, HUSINA

NSOO Secondary School NSOO Secondary School
Kibosho Mashariki
Moshi, P.O.BOX8053,MOSHI

The school is owned by Catholic Diocese of Moshi, its 13km from Moshi town to the way going Mweka Wi